Tuesday 10 December 2019

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI NZITO YA KUOSHEA VYOMBO: .


                                                                           
.MAHITAJI:
.
.Sulphonic acid lita moja
.
.soda ash robo kilo
.
.Sless au ungalol  lita 1
.
Glyceline vijiko vitano vya chakula
.
.Rangi kijiko kimoja
.
.Chumvi gram 750
.
.Tigma ya 3000
.
.pafyum laini ya matunda au harufu uipendayo
.
.CDE mls 2000
.
.Maji Safi lita 40.
.
⚪KUTENGENEZA
 Chukua Maji Lita 40 gawa Mara mbili ili upate Lita 20. Kisha Lita 20 Moja tia tigna yote koroga hadi kupata uji mzito kisha well kando.weka Sulphonic acid kwenye Chombo kisha to soda ash kisha koroga vyema Hadi kupata kitu Kama ugali HAKIKISHA unakoroga vyema kwa muda wa dakika 20 bila kupumzika .
.
.Kisha ongeza Sless koroga vyema kwa dakika 10 kisha tia Maji Lita 20 ambayo hayana Tigna kisha koroga hadi ule ugali uishe wote (tumia fagio la chelewa Safi kukorogea ili kurahisisha)
.
.Baada ya hapo tia Yale Maji yenye Tigna, koroga vyema kisha ongeza rangi na glycerine, CDE, endelea kukoroga Hadi iishe kisha mwisho tia Pafyumu na ukoroge kwa dakika 5 na acha sabuni iive,
.
.Ifunike na uiache kwa masaa 24 na zaidi ndio ufungashe katika vifungashio, peleka sokoni
.
. Vifaa vinapatikana katika maduka ya Ujasiriamali .
.

No comments:

Post a Comment