Showing posts with label MAHUSIANO. Show all posts
Showing posts with label MAHUSIANO. Show all posts

Thursday 18 October 2018

Dalili kumi (10) za mwanamke anae kupenda hizi hapa [Soma zote]


Karibu mdau wangu uweze kujifunza na R ONE  Leo nimekuandalia Dalili 10 ambazo atazionyesha mwanamke anae kupenda ila ana shindwa kukuambia nazo ni Kama zifuatazo 
1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au lah! Mf wa mambo hayo ni kujifanya anaumwa na kuangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake au

2. Haoni aibu kugusa sehemu yako ya mwili. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomosa au hata kukumbatia. Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahisishia kazi ya kuwa na wewe

3. Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli

4. Wivu.
Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Ukiwa unachart nao na ukiwaita majina ya kimahaba. Hapendi.
 
5. anakumbuka siku zako muhimu. Hukumbuka kama vile siku yako ya kuzaliwa hatowez kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifaulu mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mbele kukupongeza

6. Eye contact anapenda kukuangalia machoni muda wote ambao mtakuwa mkizungumza pamoja akidhani kuwa utaelewa ni kiais gani anakupenda kupitia vile ambavyo anakuangalia.
Ila wengine huona aibu kuwatazama wavulana wanaowapenda si wote wana ujasiri wa kuwatazama wapenzi wao.

7. Hupenda kukaa mmuda mwingi na wewe. Hawezi kupoteza hata sekunde ukimuhitaji kwa mazungumzo. Anajisikia furaha kukaa na wewe muda mrefu bila kuchoka. Anaweza akaacha kila kitu anachokifanya ili ajumuike na wewe.

8. Yupo tayari kuangamiza. Kama msichana anakupenda yupo tayari kusacrifice. Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye anaweza akafanya kwa mtu mwingine. Utaona vipi huyo msichana alivyo kwako na wa wengine. Yaani yupo tayari yeye akose lakini wewe upate na kwa mwingine anaweza akamwamba hana alichoombwa lakini akakupa wewe kama pesa na vitu vingine. 
9. Anachukulia matatizo yako kama ni yake. Unapomueleza kuwa ana tatizo anajali tatizo lako kama vile ni lake na hujisikia vibaya sana na kuhuzunika na atafanya lolote ili aweze kukusaidia utoke katika hilo tatizo.

10. Mikwaruzano ikitokea katika urafiki wenu hayupo tayari kukupoteza kabla hajakuambia anakupenda. Kwa kuwa anakupenda endapo ikatokea mikwaruzano basi atafanya juu chini kuyaweka mambo sawa ili asikukose

Friday 10 August 2018

MAMBO 8 YANAYO MTOKEA MWANAMKE HASIPO FANYA MAPENZI MUDA MREFU

Yawezekana huna mpenzi au labda huna muda wa kutafuta mwenza, utakapoona mabadiliko haya mwilini mwako basi inabidi ufikirie kuanza kale kamchezo ketu. Haya ni mabadiliko yanayoweza kutokea mwilini mwako utakapoacha kufanya mapenzi, na si mabadiliko mazuri kama namba hili la kwanza katika mabadiliko haya:
1. Unaweza kupata ndoto nyevu

Kama inavyomtokea mtoto wa kiume aliye kwenye balehe, wanawake wasiofanya mapenzi mara kwa mara, watajikuta wakipata ndoto nyevu wakiwa usingizini.hii itakutokeasio tu kwa kutokufanya mapenzi mara kwa mara bali hata unapoacha kupiga punyeto.
Wanawake wengi wanakosa uhakika kama wanapata ndoto nyevu kwa kuwa inategemea endapo atakumbuka, kwakuwa hakuna kumbukumbu nyepesi kuisahau kama kukumbuka ulichoota.
Haikuwa rahisi kwa watafiti kuwa na jibu kuhusu kusisimka kwa mwanamke akiwa usingizini, kwakuwa inabidi wapime mapigo ya moyo, kupima ubongo na kufatilia mabadiliko ya joto ukeni.
2. Unapoteza hamu ya kufanya mapenz

Japokuwa usemi wa “usichokitumia kitapotea” unatumika kuelezea jambo kama hili, wanawake hawapotezi kitu chochote ambacho hakiwezi kurudi kwenye hali yake ya kawaida, walau wakiwa katika hatua za kuweza kupata watoto. Ni kawaida sana kwa mwili wa mwanamke kuacha kuwaza kufanya mapenzi kama hakufanya kwa muda mrefu. Mwili unazoea hali ya kutopata hisia hizo.
Hamu ya kufanya mapenzi inaweza ikapotea, kitu ambacho sio kibaya sana kama unataka kufanya mambo mengine. Pia utaweza kuachana na mambo yanayotokana na hisia zako za mapenzi. Kama hutaki kupoteza hamu ya kufanya mapenzi hata kwa muda kidogo, kujichua kunaweza kukusaidia hili. Mshauri wa masuala ya kujamiiana Holly Richmond, ambaye ni Daktari wa Saikolojia ya ufanyaji kazi wa mwili wa binadamu anasema, “Watu ambao huwa wanapiga punyeto huwa wana uwezo mkubwa wa kufikiria na ni wakarimu kwa wapenzi wao,” kwahiyo mwanamke asione aibu kupiga punyeto!
3. Kuta za uke zinadhoofika

Inafahamika kwamba ukiwa na umri zaidi ya miaka 50 hivi wanawake wanakuwa katika uwezekano mkubwa wa kutopata raha kabisa wakati wanafanya mapenzi iwapo hawatakuwa wakijamiiana mara kwa mara. Kwa kawaida, kuta za uke zinakuwa nyembamba na kudhoofika hadi mara nyingine kuanza kuchanika wakati unaingia kipindi cha ukomo wa hedhi, hali inayofanya tendo la kujamiiana liwe na maumivu makali sana. Jambo pekee la kuzuia hili lisitokee kimsingi ni kuendelea kufanya mapenzi mara kwa mara hata katika umri wako wa kustaafu. Dkt. Streicher ameliambia jarida la Reader’s Digest kwamba kupungua kwa kuta za uke kunatokana na kutopata kwa damu ya kutosha, tatizo linaloweza kurekebishwa kwa kusisimuliwa kimapenzi na kujamiiana.
“Wanawake wenye umri mkubwa ambao hawafanyi mapenzi mara kwa mara wapo kwenye hatari kubwa zaidi ya kupungua na kufa kwa tishu za kuta za,” amesema. “Kisababishi kikubwa cha tatizo hili ni kupungua kwa mzunguko wa damu, na inajulikana kwamba kufanya mapenzi mara kwa mara kunaongeza mzunguko wa damu maeneo hayo.”
Na kama maumivu makali wakati wa kujamiiana yatakuwa hayatoshi, madhara yanayoletwa na kupungua kwa kuta za uke ni ugumu wa kutengenezwa kwa kilainishi asilia kwenye maumbile yako, jambo linalofanya kitendo cha kufanya mapenzi baada ya muda mrefu kusababisha ukavu wa hali ya juu. Ili kuzifanya kuta za uke ziwe nene na zenye afya, angalau soma vitabu vya mapenzi kila mara, na angalau uwe unapiga punyeto. Kwa muktadha kama huu ndio madaktari wakasema kuwa kama usipotumia kiungo fulani basi kitadhoofika, kwahiyo njia rahisi zaidi ya kuondoa tatizo hili ni kufanya mapenzi mara kwa mara! Mtaalamu wa magonjwa ya wanawake, Dkt. Barb DePree anasema, “Ninamhudumia mwanamke mwenye umri wa miaka 75 ambaye anasema kuwa anafanya mapenzi mara mbili kila wiki,” kwahiyo hakuna sababu ya msingi ya kutofanya.
4. Unaongezeka uzito wa mwili

Kufanya mapenzi ni njia bora sana ya kuishughulisha moyo na misuli bila kupata maumivu unayopata ukikimbia au gym. Unaweza usiwe unajua ni kiasi gani cha ‘kalori’ unakipunguza unapofanya mapenzi, lakini unaweza kugundua hilo baada ya kumaliza. Jarida la “Woman’s Day” lilichapisha kuwa kiwango cha kawaida cha kalori unachopunguza wakati wa kuandaliwa, matokeo yaliyowastua wengi. Ukiwa unapata mabusu ya kawaida tu, unapunguza kalori 68 kwa saa, lakini yanapofanywa kwa muda mrefu zaidi yanapunguza kalori zipatazo 476 kwa saa. Hii ni kwa sababu kiwango cha kupumua kinapoongezeka, kalori zinapungua kwa wingi zaidi!
Tendo la kufanya mapenzi linasaidia kuchoma kalori 144 kwa kiwango cha chini. Kiasi hiki kitaongezeaka zaidi endapo utakuwa na ushirikiano wa kutosha. Hii inamaanisha utapunguza kalori angalau 1,200 kama utakuwa unafanya mapenzi mara tatu au nne kwa wiki, kiasi ambacho ni kikubwa sana kama utakuwa hufanyi kwa muda mrefu. Kwahiyo, kama ukiacha kufanya mapenzi, utaona mwili ukianza kuongezeka uzito kidogo kidogo.
5. Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili

Kufanya mapenzi mara kwa mara kuna faida kubwa kiafya, na tunapoacha kwa muda mrefu tunajiweka kwenye hatari ya kuugua kirahisi zaidi! Kwa mujibu wa wataalamu wa Kliniki ya Mayo nchini Marekani, kila mara mwanamke au mwanaume anapopandishwa hamu ya kufanya mapenzi, mwili unatoa homoni aina ya Dehydroepiandrosterone (DHEA). Homoni hii inasaidia kuupa nguvu mfumo wa kinga ya mwili, ikiusaidia mwili kupambana na bakteria, virusi na vijidudu vingine vingi. Lakini faida hii itapatikana endapo mwenza wako ataweza kufika kileleni mara kwa mara.
Japo kutofanya mapenzi haina maana kwamba utapata magonjwa makubwa ghafla, kinachomaanishwa ni kwamba utakuwa unakosa faida hizi zinazotokana na kufanya mapenzi mara kwa mara. Homoni hii ya DHEA pia inasemwa kuwa inasaidia kuondoa msongo wa mawazo, kung’arisha ngozi, kurekebisha tishu zilizoharibika kwa haraka zaidi na pia kuongeza kiwango cha uelewa na kujifunza.
Utafiti uliofanywa na wanafunzi wa vyuo vikuu pia umebaini kiwango kikubwa cha protini aina ya immunoglobulin A, kiambata muhimu sana katika kinga ya mwili – kwa wanaofanya mapenzi walau mara mbili kwa wiki ikilinganishwa na ambao hawafanyi!
6. Kuwa na msongo wa mawazo

Sio tu kwa sababu ya raha unayopata wakati wa kufanya mapenzi, mbegu za kiume ni moja ya vinavyopunguza msongo wa mawazo kwa mwanamke. Yawezekana ikaonekana hiki ni kitu ambacho mwanaume atasema ili alale na mwanamke, lakini ndio ukweli wenyewe! Jarida la Psychology Today limeripoti kuwa katika utafiti uliohusisha wanawake 293 kuhusu tabia zao kwenye mahusiano, kama idadi ya kufanya mapenzi na iwapo wanatumia kinga au la. Kisha wakapimwa kujua viwango vyao vya msongo wa mawazo.
Ilibainika kuwa waliokuwa wanafanya mapenzi bila kinga hawakuwa na msongo wa mawazo ikilinganishwa na waliokuwa wanatumia kinga au ambao hawakufanya kabisa. Viambata vinavyopunguza msongo wa mawazo vilivyopo kwenye mbegu za kiume vikinyonywa na kuta za uke, vinamfanya mwanamke itulie kabisa! Hii ndiyo sababu watu hupata msongo wakiachana na wapenzi wao.
Kwa mujibu wa jarida la “Psychology Today,” homoni za endorphin zinazotoka wakati wa kufanya mapenzi zinasaidia kuondoa wasiwasi. Kwahiyo, unapopita muda mrefu bila kufanya mapenzi, unaweza kuona unapata msongo wa mawazo. Haijaelezwa endapo homoni hizi zinatoka iwapo utafikia kileleni au la, na ikiwa ndivyo, basi wanawake wengi hawapati faida hii kwakuwa wengi wao hawafiki. Uzuri ni kwamba hata ‘mazoezi’ unayofanya wakati wa kufanya mapenzi husaidia kufikia faida hiyo.
Tafiti moja imeonesha kuwa kwa wanaofanya mapenzi baada ya kila wiki mbili wana uwezekano mdogo wa kupata shinikizo la damu ikilinganishwa na wasiofanya kabisa au wanaopiga punyeto au wanaofanya njia yoyote isiyohusisha kujamiiana. Kwahiyo, hata ‘ukijihudumia’ mwenyewe haitasaidia sana kukupunguzia msongo wa mawazo. Kwa sababu hii, wanawake wanahitaji hasa kuwa na mwenza.
7. Unapunguza uwezekano wa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, UTI na mimba usizotarajia

Mara nyingine maambukizi yanatokana na kutojikausha vizuri au kuwa na unyevu kwa muda mrefu au kuvaa nguo zinazobana sana, lakini kutofanya mapenzi inamaanisha hutakuwa na wasiwasi tena kuhusu kupata mglu6iyagonjwa ya zinaa na mimba zisizotarajiwa.
Ingawa kutofanya mapenzi kabisa ndio njia pekee ya uhakika ya kuepuka maambukizi ya VVU, watu wengi hawajui kwamba kuna magonjwa mengine ambayo unaweza kupata maambukizi ya bila hata kufanya mapenzi.
Maambukizi ya mfumo wa mkojo ni tatizo kubwa sana. Yanasababisha maumivu makali na yasiyoisha. Je, umegundua kuwa mara zote ulizogundua umepata maambukizi ni baada ya kutoka kufanya mapenzi? Gazeti la New York Times limeripoti utafiti unaoonesha kuwa asilimia 80 za maambukizi ya UTI yanatokea ndani ya saa 24 tangu kufanya mapenzi. Ni kawaida kwa mwanamke kupata maambukizi akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu. Hata kipindi cha wiki mbili au tatu kinatajwa kuwa ni muda mrefu kutofanya mapenzi, kwahiyo, kwa wanawake kuwa mbali na wapenzi wao kwa muda kunawaweka kwenye hatari ya kupata UTI.
Faida pekee unayopata kwa kutofanya mapenzi muda mrefu ni kwamba unakuwa na hakika nani aliyekuambukiza, lakini ukianza tena kufanya mapenzi mara kwa mara, ni kama una uhakika wa asilimia kubwa kwamba upo mbioni kupata maambukizi. Ni kama mshale wenye ncha mbili, ya faida na hasara.
8. Kusahau mara kwa mara

Uwezo wa kiakili unapungua. Kusahau mara kwa mara ni tatizo kubwa ambalo mwanamke anapata asipofanya mapenzi mara kwa mara kwa sababu hii: Kufanya mapenzi inasaidia kuchangamsha mishipa iliyopo kwenye ubongo inayoitwa hippocampus ambayo kazi yake ni kutawala hisia, kumbukumbu na mfumo wa fahamu, ambayo husaidia sana kuweka kumbukumbu, lakini utambue kwamba haihusiki na kumbukumbu zako zote. Wakati unafanya mapenzi, seli mpya huwa zinatengenezwa kwenye mishipa hii, jambo linalosaidia kwenye kumbukumbu. Unapoacha kwa muda mrefu, kazi hii inakuwa haifanyiki na kusababisha kuzorotesha uwezo wako wa kumbukumbu.m

Thursday 19 July 2018

JINSI YA KUMFURAHISHA MWANAMKE KATIKA MAPENZI

WATU wengi (hasa baadhi ya wanaume) ama hawajui au hawajali ni kitu gani wenza/mwenza wake anataka kufanyiwa au akifanyiwa kitamsisimua (Turn on) hata kama amechoka sana.
Uchunguzi unaonyesha kuwa Wanaume wengi hasa kutoka nchi za Kiafrika hujali zaidi kumaliza hamu zao za mwili na kamwe hawajali kama wenza/Mwenza wake yuko tayari au la!.
Mf: Inasemekama baadhi ya Wanaume wa Kiafrika ambao ni wakubwa kiumri (wa zamani), au wale ambao wanathamini sana jadi zao asilia ndani ya Afrika, kitu cha kwanza watakacho kuambia mkiwa chumbani ni "njoo hapa" au "vua nguo basi" na kisha utavamiwa kabla hata wewe mwenyewe hujawa tayari na unalazwa chini kama sio unawekewa uume mbele ya uso wako.......halafu watu mnashangaa kuambiwa "mume wangu alinibaka".
Mfano huo unaonyesha ni kwa jinsi gani baadhi ya wanaume wanavyojipendelea(wabinafsi), na mara zote huweka akilini mwao kuwa wanawake/mwanamke ni chombo cha kumridhisha / kumstarehesha/ kumfurahisha na kumliwaza yeye "mwanaume".
Napenda kusema kuwa mwanamke kama mwanadamu pia anahaki ya kuridhishwa, kustareheshwa, kufurahishwa na kuliwazwa pia.

Dhana hiyo potofu imepelekea baadhi ya makabila kuendeleza mila za kuwakusanya wasichana ktk umri wa kuvunja ungo (mwali) na kuwafundisha jinsi ya kuwaridhisha mwanaume kimapenzi " hao wana bahati".
Lakini kwa wale ambao hawafuati/hawana/hawazijui mila hizo wamekuwa wakifuatilia kwa makini na kuamini kila kinachoonyeshwa kwenye "Video" ailimradi tu kiwe kinahusu jinsi ya kumridhisha mwanaume kimapenzi.

Inasikitisha sana kuona pia baadhi hufuatilia hatua kwa hatua kila kinachoandikwa kwenye Magazeti na baadhi yao huamua kutafuta "Kungwi" na kulipishwa ili wapatiwe ujuzi wa kufanya mapenzi ili kuwaridhisha wapenzi wao.
Ninavyofahamu mimi ni kuwa , ujuzi, utundu katika kufanya mapenzi haufundishwi hata kidogo ila ni
-ubunifu wako,
-kujaribu,
-kuujua mwili wako na wa mpenzi wako,
-ufurahiaji wa mwili wako,
-kujiamini kwako,
-uwazi na ushirikiano wa mpenzi wako.
Ni vema jadi ikabadilishwa na swala zima la kufundishwa/fundwa liwe kwa jinsia zote mbili. Wake kwa waume wafundishe jinsi ya kuridhishana, jinsi ya kufurahia na yale mambo muhimu ya mahusiano ya kimapenzi iwe ni ndoa au mahusiano ya kudumu nje ya ndoa.
Pia ni vizuri utambue kuwa unapoamua kufanya tendo la Ndoa au Ngono ni vyema ukajua mahitaji ya mwenzio iwe mwanaume/mwanamke, jaribu kufamnyia Mwenza wako kitu/vitu tofauti na alivyokuwa akitarajia/alivyozoea ni vizuri zaidi na kutamfanya aendelee kuwa na hamu ya kuwa na wewe kwa muda mrefu "usipigwe kibuti" kwa vile unamjulia.....yaani unajua vipele vilipo na unavikuna vilivyo.

Monday 18 June 2018

FAIDA ZA KUFANYA TENDO LA NDOA WAKATI WA UJAUZITO

kuna watu wamekua wakiuliza mara kwa mara kama inaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka umri gani wa mimba au ni sahihi kufanya tendo la ndoa kipindi cha ujauzito? maswali yalikua mengi sana hivyo leo nimeamua nijibu maswali hayo na makala hii.

mwanamke akiwa na mimba anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa hata kama anatarajia kuzaa kesho yake, hakuna tatizo lolote linalomzuia kufanya hivyo, baadhi ya wanawake wamekua wazito sana kufanya hivyo kwa kua na sababu mbalimbali za kujitetea bila kujua kwamba wanazikosa faida hizi ambazo ni muhumu kiafya.faida zenyewe ni kama zifuatazo
husaidia uchungu mzuri na kupona mapema; kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa huambatana na kubana kwa misuli ya nyonga hii husaidia kuweka imara misuli ya nyonga ambayo ni muhimu sana wakati wa kusukuma mtoto na baada ya kuzaa kwani misuli hii ikiwa legevu mwanamke huweza kushindwa kuzaa kwa njia ya kawaida na hata baada ya kuzaa huweza kushindwa kuzuia mkojo usitoke wenyewe au kuvuja damu kwa muda mrefu.
hupunguza kwenda ovyo kukojoa au kujikojolea; wakati wa ujauzito mtoto anapozidi kua mkubwa anazidi kukandamiza kibovu cha mkojo, hii humfanya mama aende chooni kukojoa mara kwa mara na wakati mwingine hata akipiga chafya au kukohoa basi mkojo unaweza kutoka wenyewe. tendo la ndoa huibana misuli ya nyonga na kuzuia hali hii.

huzuia uwezekano wa kupata kifafa cha mimba; tafiti zinaonyesha kwamba aina ya protini inayopatikana kwenye mbegu za mwanaume huongeza kinga ya mwili na kuzuia uwezekano wa kupata kifafa cha mimba ambacho kinaua wanawake wengi sana.

hutibu tatizo la kufika kileleni kwa shida; kipindi cha ujauzito chuchu za mwanamke na kinembe chake huvimba na kuongezeka hisia mara dufu huku kiwango cha homoni za oestrogen kikiwa juu sana, hii humfanya kufika kileleni kirahisi sana kuliko mwanzoni.
huwapa uwezo wa kujiamini ; kipindi cha ujauzito mwanamke hua anapata hofu sana na kutojiamini na mwili wake, hua na wasiwasi kwamba mwili wake unaharibika hivyo kitendo cha mwanaume wake kuendelea kushiriki naye tendo la ndoa humpa kujiamini kwamba mwili wake bado uko kwenye hali nzuri na anapendwa.

hupunguza msongo wa mawazo ; kipindi cha ujauzito wanawake wengi huwaza sana kuhusu kesho yao...je swala la uchumi litakuaje? mwili wangu utakuaje? je ntapata jinsia nayotegemea? na kadhalika.. tendo la ndoa hutoa homoni ya upendo kwa jina la oxytocin, homoni hii hupunguza mawazo na kumpa amani mjamzito.

huongeza upendo na mshikamano kati ya wapenzi; katika hali ya kawaida wanandoa wakikwazana wanaweza wakapatana kwa kushiriki tendo la ndoa tu, amani na upendo kipindi hiki ni muhimu sana kwani kuna mtoto anakuja ambaye anatakiwa kuzaliwa huku baba na mama wakiwa wanapatana.

hukuandaa na uchungu ; ukishiriki ndoa wakati wa tarehe zilizokadiriwa zimefika unapata homoni moja kutoka kwenye mbegu za mwanaume kwa jina la prostglandin, homoni hii huivisha mlango wa uzazi na kuanza kufunguka taratibu kujiandaa na uchungu.

hutibu tatizo la kukosa usingizi; wanawake wengi wajawazito hua na dalili mbalimbali za maumivu na kuumwa sehemu tofauti za mwili na msongo wa mawazo, hii huweza kuwakosesha usingizi kabisa..tendo la ndoa huweza kuwapa usingizi mzuri.

hupunguza presha ya damu; kipindi cha tendo la ndoa presha ya damu hushuka kwenye kiwango kizuri sana, hii ni muhimu sana kwa wanawake wenye hatari ya kupata kifafa cha mimba kama wanene sana, wenye kisukari au wenye historia za ugonjwa wa presha kwenye koo zao.

mwisho; hakikisha unatumia staili za tendo la ndoa ambazo hazimuumizi mtoto na mama yaani hakikisha haulilalii tumbo hasa mimba ikiwa kubwa, kuna staili muhimu kipindi hiki kama kuangalia upande mmoja, mwanamke kuja juu, au mwanamke kuinama

Sunday 17 June 2018

UJUMBE MUHIMU KWA WAKINA DADA/ WANAWAKE


DEAR LADIES


1 . Ngono haimfanyi mwanaume asikuache , hata ukukuruke vipi , jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu .

2 . Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele . Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko!

3 . Uzuri wa mwanamke unaweza ukampelekea akaolewa ila tabia yake ndio itakayoamua ni kwa muda gani atadumu katika ndoa. Uzuri huvutia wanaume, ila tabia hufanya wanaume wadumu na wewe.

4 . Pesa kiukweli ina faida sana na ni muhimu kwa mtu yoyote kuwa nayo ila pesa peke yake haiwezi kuleta ukweli wa maana halisi ya furaha na maisha .

6 . Kuwa mzuri bila tabia njema hakuwezi kukakupa mume bora, sana sana utapata Boyfriends na wanaume za watu .

6 . Tendo la ngono linaleta faraja ila haliwezi kuleta upendo. Sex ni zao la mapenzi, mapenzi sio zao la sex .7 . Sex inaweza kufanya mwanaume alale na wewe usiku kucha, na asubuhi akaondoka zake ila upendo hufanya mwanaume aishi na wewe daima.

8 . Kuna mambo mengine pesa haiwezi nunua kama tabia na heshima, kama ulikubali kuolewa nae kisa pesa zake . Usidhani kupitia pesa zake ataweza badilika.

9 . Uvaaji wako siku zote ndio utakaoamua ni nini wanaume wazungumze na wewe!
Ni ukweli fulani hivi ambao ni mchungu ! ila sio mbaya waweza shushia na juice bariiiiiii

Saturday 16 June 2018

MWANAMKE KUWA JUU YA MWANAUME NI MTINDO HATARI KTK TENDO LA NDOA

Wanasayansi nchini Brazil wamefanya utafiti ili kubaini ni mtindo upi katika ufanyaji tendo la ndoa ulio hatari zaidi kwa mwanaume.
Kwa mujibu wa utafiti huo, mtindo ambao mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndio hatari zaidi na huwa na risk kubwa zaidi ya kusababisha hata kuvunjika kwa uume.
Wanasayansi hao wanasema:
Pindi mwanamke anapokuwa juu, mara zote hucontrol movement na uzito wote wa mwili wake ukitua kwenye uume uliosimama na kushindwa kuzuia pale uume unapokuwa umeingia vibaya kwasababu madhara huwa ni madogo kwa mwanamke bila maumivu lakini ni mabaya kwa mwanaume.
“Pindi mwanaume anapokuwa akicontrol movement, ana nafasi kubwa ya kuzuia kutokana na uume wake kuwa sehemu mbaya na hali inayopelekea kusikia maumivu na hivyo kupunguza hatari.
Hivyo inashauriwa kuepuka staili hiyo....

Tuesday 12 June 2018

MADHARA YA KUZAMA CHUMVINI KWA MWANAMKE

Tafiti zimeonyesha kuwa,mdomo wa binadamu ki bacteriologia (bacteriologically) ni mchafu maradufu kuliko sehemu ya uke(vagina).

Ni vema kufahamu kuwa,katika hali ya afya,binadamu wote tunaishi navimelea(microorganisms) katika sehemu nmbalimbali za miili yetu, wakiwa na lengo la kutulinda, kitaalamu wanaita normal flora hawa wanakuwa hawana madhara katika mwili.Hivyo ni kweli kuwa vagina kama ilivyo mdomo una normal flora.

sasa baadha ya vitendo huweza kuondoa normal flora na kukaribisha magonjwa,mfano kinamama kujiosha ukeni na maji ya ndimu,limao,Shabu etc huweza kuondoa Normal flora na kukaribisha magonjwa,kama ambavyo matumizi ya sabuni zenye kemikali zinavoweza kuua normal flora kwenye ngozi na kusababusha magonjwa ya ngozi.Hivyo kwa mwanamke mwenye afya,uke ni mahali salama kufanya upendalo(kama vile kwenda chumvini).

Hata hivyo, nionye kuwa hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa kinywani kama vile Gonnorhea, Syphilis, candidiasis (fungus), HIV n.k ipo pale pale kama ambavyo mtu anaweza kuambukizwa kwa njia ya kawaida ya kujamiiana.

Mwisho, kama wewe ni mgonjwa wa kwenda chumvini, hakikisha unafanya mchezo huo nampenzi/mke aliye salama.

UMUHIMU WA NYWELE SEHEMU ZA SIRI KWA MWANAMKE/MWANAUME


Kuna baadhi ya vitu viko katika mwili vinaweza kuonekana kama havina kazi (useless) lakini kumbe havikuwapo hapo kwa bahati mbaya.
Nywele za maeneo ya siri imekuwa na baadhi vitu ambavyo umuhimu wake haujatiliwa maanani na watu wengi. Imefikia hatua mpaka wengine wanaziona kama ni uchafu mwilini.
Watu wengi hutumia gharama kubwa na vifaa vya gharama kuhakikisha kuwa wananyoa nywele hizo. Watu hutumia viwembe, wengine hutumia mpaka nta ili kuhakikisha kuwa eneo linalonyolewa nywele hizo linakuwa kama walivyokuwa wakiwa watoto.

Baadhi ya wataalamu wa maswala ya kijamii wanasema kuwa watu hutumia jitihada kubwa kupambana na nywele hizi ikiwa ni sehemu ya utamaduni wao, hasa kwa wale wanaodhani kuwa wameendelea na wanaovaa nguo za ndani zinazojulikana kama ‘bikini’.
Wataalamu wa upasuaji wamegundua kuwa kuondoa nywele kwenye eneo la mwili kabla ya kufanya upasuaji, kunaongeza hatari ya athari na maambukizi katika ngozi.
Imeelezwa kuwa unaponyoa nywele zote ktika maeneo ya sehemu za siri, unaongeza hatari ya maambukizi na huchoche bakteria kuingia ndani ya mwili kupitia vitundu vidogo vinayoachwa baada ya nywele hizo kuwa zimenyolewa.

Vile vile, kunyoa nywele zote za maeneo ya siri huongeza hatari ya maambukizi ya magonjwa ya ngono kutokana na majimaji yanayokuwepo wakati wa ufanyaji wa mapenzi kupenya katika vitundu vidogo vilivyobakia baada ya nwele hizo kunyolewa.
Kunyoa nywele za sehemu za siri kunaweza kukusababishia muwasho na kukuletea kero hata unapokuwa mbele za watu. Hebu fikiria umenyoa nywele za sehemu za siri halafu uko mbele ya mkutano kazini, mara ghafla unapatwa muwasho katika maeneo ya siri na makwapa. Unadhani unapatwa na hali gani? mfadhaiko unaoupata unaweza kukuletea fedheha kubwa.

Nywele za sehemu za siri huwa na kazi ya kuizuia ngozi dhidi ya michubuko, pamoja na bakteria mbalimbali ambao wanaweza kushambulia maeneo nyeti. Vile vile nywele kama za makwapa hudanya kazi ya kufyonza jasho linalotoka ili lisitiririke katika maeneo mengie ya mwili wako.

Uamuzi ni wako. Ikiwa utaamua kunyoa nywele za sehemu za siri ama la, hiyo ni juu yako. Lakini kumbuka kujiweka safi musa wote na kuhakikisha kuwa mwili wako unakuwa nadhivu na wenye afya.

VITU VANAVYO SABABISHA HARUFU SEHEMU ZA SIRI KWA MWANAMKE

Ni matumaini nyote mnaendelea vyema, nami alhamdulillah ala kul Hali naendelea vyema
Leo naona ni bora tukazungumzia tatizo la kutokwa na harufu mbaya ukeni maana watu wengi hudhani kuwa na harufu mbaya itokayo ukeni ni matokeo ya uchafu tu na ndio maana wanaume huwachamba wake zao kuwa hawajuhi kujisafisha na kufanya wanawake kuongeza jitihada katika kujisafisha ukeni, leo napenda kuzungumzia tatizo hili linalowasumbua wanawake wengi na kuwaumiza kichwa kutokana na kwamba lina athari kubwa sana kwani hufanya ndoa zao kudumaa NK,

~Kitaalamu Hali ya mwanamke kutokwa na maji yenye rangi nyeupe au njano ni Hali ya kawaida na sio tatizo Lakini endapo maji yanatoka yapo katika Hali ya ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia na yanatoa harufu kali au kuwasha hapo una tatizo
~Majimaji au ute unaoteleza kutoka sehemu za siri ni njia inayowezesha viungo vya uzazi vya mwanamke kujisafisha au kutoa uchafu wa seli zilizokufa na mabaki ya damu ya hedhi nnje ya mwili pia huvikinga viungo vya uzazi dhidi ya maaambukizi ya bacteria
~Kwa kawaida huwa hayatoi harufu na huwa hayawashi na huwa na rangi nyeupe au njano pia huwa na asidi ya LACTIN ambayo huzuia bacteria kuzaliana
~Mwanamke hutoa kiasi cha grams 2 za seli zilizokufa kutoka kwenye mji wa kizazi na grams 3 za ute mwepesi kila siku, kiwango hicho kinaweza kuongezeka au kupungua kutegemeana na mzunguko wa hedhi pia Kuna wakati ute huwa mwepesi na unaovutika na Kuna wakati pia huwa mzito wa rangi ya njano hautoi harufu

VISABABISHI VYA TATIZO HILI

Sababu za kutokwa na uchafu ukeni una vyanzo vingi sana vifuatavyo ni vyanzo vya tatizo hili

1. BACTERIA VAGINOSIS
Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijafanikiwa kuwa wazi,kinachotokea ni kuongezeka kwa ghafla kwa idadi ya ya bacteria hawa na kubadilisha uwiano wa kawaida katika mazingira ya uke, wanawake wenye wapenzi wengi na wanaofanya mapenzi kwa njia ya mdomo Wana hatari ya kupata tatizo hili

2. TRICHOMONAS
Maambukizi haya hutokana na Aina ya protozoa wa seli moja, trichomonas mara nyingi huambukizwa kwa njia ya ngono, protozoa huyo huweza kukaa kwenye unyevu unyevu kwa Muda wa saa 24 Bila kufa hivyo kufanya taulo na chupi zisizokauka kuwa chanzo kingine cha tatizo hili

3. YEAST INFECTION
Kwa kawaida Kuna kiwango kidogo cha yeast (candida albicans) katika uke, huwa tunasema Kuna maambukizi pale kiwango kinapozidi Hali ambayo inatokana na kubadilika kwa Hali ya hewa ukeni (Change in the PH balance of vagina)
Maambukizi ya yeast hayatokani na tendo la ndoa.
Mambo ambayo huchangia tatizo hili ni:
MATUMIZI YA DAWA ZA KUZUIA MIMBA,
MAWAZO,
UJAUZITO,
KISUKARI
MATUMIZI YA ANTIBIOTICS

4. VAGINAL OR CERVICAL CANCER,
Mtu anapokua na kansa ya uke, hutokwa na maji ya harufu mbaya, hivyo ni heri uwe unafanya check up ili kujua Afya yako na kwakuwa cancer ya kizazi inapona hivyo ni vema ukatambua mapema uanze tiba

5. SEXUAL TRANSMITTED DESEAS (STDs)
Kuna baadhi ya magonjwa kama vile KASWENDE NA KISONONO yanasababishwa na ngono na kuwa chanzo cha tatizo hili.

6. POOR HYGIENE
Tatizo la kutokwa na maji wakati mwingine husababishwa na muhusika kua mchafu yan mtu unaoga kwa siku mara moja, chupi moja ndio hiyo hiyo mwaka mzima, pads unakaa nayo saa 24, ukienda kukojoa ujitawadhi na maji masafi hivyo unategemea utakua salama kweli??? Zingatia usafi mrembo

DALILI ZA TATIZO HILI

Kutokwa na uchafu ukeni unaoambatana na kuwashwa au kutokewa na vipele, hii hutokana na kuharibika kwa uwiano wa bacteria hivyo kuwa na madhara na uchafu hutoka wa aina tofauti hapa chini nitaelezea kila Aina ya uchafu na dalili zake.

1. UCHAFU WENYE RANGI YA KAHAWIA AU DAMU
Huu uchafu huonyesha dalili ya kuwa mzunguko wako wa hedhi umevulugika na wakati mwingine ni dalili ya kansa ya kizazi, mwanamke anayepata tatizo hili hutoa damu nyingi kuumwa sana nyonga

2. UCHAFU WENYE RANGI YA NJANO /KIJANI WENYE HARUFU MBAYA
Endapo uchafu huo utatoka kama povu na wenye rangi ya kijani au njano na ukiambatana na harufu mbaya huwa ni dalili ya ugonjwa wa trichomonas, maambukizi ya parasite yanatokana na ngono zembe, dalili Yake nyingine ni maumivu na kuwashwa wakati wa kutoa haja ndogo.

3. UCHAFU MWEUPE MZITO KAMA JIBINI
Mara nyingi hii huwa ni dalili ya maambukizi ya fangasi(YEAST INFECTION) na dalili nyingine huwa ni kuvimba sehemu ya nje ya siri, kuwashwa na kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

4. UCHAFU MWEUPE/KIJIVU WENYE HARUFU YA SAMAKI
Uchafu wa Aina hii ni dalili ya maambukizi ya bacteria vaginosis, mara nyingi mwenye tatizo hili husikia muwasho na maumivu sehem ya nnje ya uke.

5. MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KUEPUKA TATIZO HILI NA TIBA YAKE
Matibabu ya tatizo hili hufanyika baada ya kugundua chanzo cha tatizo na mara nyingi tiba Yake ni tiba ya dawa za antibiotics kitu ambacho si tiba nzuri zaidi kwasababu tatizo huweza kujirudia kila wakati na kusababisha matatizo zaidi hivyo tiba nzuri ni kuepuka hili tatizo kwa kufanya yafuatayo
👉EPUKA KUJIINGIZA VIDOLE MARA KWA MARA UKENI
👉EPUKA MATUMIZI YA DAWA ZA ANTIBIOTICS MARA KWA MARA
👉PUNGUZA KULA VYAKULA VYENYE SUKARI NYINGI
👉TUMIA PADS ZENYE ANIONS NI SALAMA KWA AFYA YAKO
👉SAFISHA VIZURI NGUO ZAKO ZA NDANI NA UZIANIKE JUANI NA HATA
KUZIPIGA PASI
👉KUNYWA JUICE YA APPLE,STRAWBERRY, NANASI KWA WINGI
👉EPUKA KUFANYA NGONO ZEMBE
👉HAKIKISHA UNAJISAFISHA KILA UNAPOMALIZA KUJISAIDIA
👉EPUKA KUTUMIA DAWA ZA KUZUIA MIMBA
👉EPUKA KUTUMIA SABUNI AU VITU VYA MANUKATO UKENI,
NOTED :
Wanawake wengi mnapenda kutumia baadhi ya dawa kwa lengo la kuongeza vionjo kwenye mapenzi pia kufanya uke kunukia vizuri, au kukaza uke rafiki uke una harufu nzuri sana ambayo haipatkan kokote hivyo haihitaji kuwekwa pafyumu Wala kusafishwa kwa sabuni za kemikali kwani huwa panajisafisha hivyo ni heri ukaacha kutumia kwani madhara Yake hayaonekani sasa ila baada ya Muda huonekana

Monday 11 June 2018

TUMIA VITUNGUU SWAUMU KWA TATIZO LA KUWAI KUFIKA KILELENI MAPEMA

Hivi karibuni kumekuwapo na tatizo la wanaume wengi kuwahi kufika kileleni, huku kitendo hicho kikichangawa na sababu mbalimbali ikiwamo mawazo na sababu nyinginezo.
Ikiwa wewe unatatizo la kuwahi kufika kileleni basi inasadikika ya kwamba kitunguu swaumu ni tiba tosha.

Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida nyingi mwilini ni kule kuwa kwake na viasili kadhaa (ingredients) ambavyo vinafanya kazi tofauti tofauti. Uwezo wake wa kiutendaji unatokana na sifa zifuatazo:

Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.
Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na hivyo kupunguza madhara ya kisukari.

Ukivikata vipande vidogo vidogo hivi (chop), vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo kwa kitaalamu kama ‘Allicin’ ambayo ni dawa dhidi ya bakteria, na ‘Phytoncide’ ambayo huua fangasi mbalimbali mwilini.
1. Chukuwa kitunguu swaumu kimoja.
Kigawanyishe katika punje punje
2. chukua punje 6
3. Menya punje moja baada ya nyingine.
4. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika 10
Baada ya hapo meza kama unavyomeza dawa na maji nusu lita kila unapoenda kulala. Namna nyingine nzuri zaidi ni kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha mtindi freshi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku ukipata faida nyingine mhimu zilizomo kwenye mtindi.

Saturday 9 June 2018

HIZI NDIZO TABIA 7 ZINAZO KIMBIZA WANAUME KWA WANAWAKE ZAO

1. CHOKOCHOKO
Wanaume wengi huwa hawapendi chokochoko. Hawapendi mwanamke ambaye yeye kila wakati ni kuanzisha chokochoko ambazo zinazalisha ugomvi. Wanaume wengi hawapendi mabishano. Hawapendi ugomvi hivyo mwanamke anapokuwa hodari wa kuleta chokochoko, huepukwa.
Ni vyema basi mwanamke akachunga kauli. Akawa si mtu wa kuchimbachimba vitu ambavyo havina kichwa wala miguu. Asiwe na kisirani. Kinywa chake kitawaliwe na maneno matamu, yatakayomtia moyo mpenzi wake, yatakayomfariji na yatakayomfanya apende kuzungumza naye.
Mara nyingi mwanaume akiona mke au mpenziwe ni mtu wa kupenda chokochoko, mara nyingi humuepuka. Anajitahidi kadiri ya uwezo wake kukaa naye mbali. Ataona ni bora achelewe kurudi nyumbani akakutane na marafiki baa, wapige stori ili muda uende na akirudi nyumbani asiwe na muda wa kuzungumza na mwenzi wake, yeye ni kula na kulala.
2. KUTORIDHIKA
Wanaume wengi wanachukia kuwa na wanawake wasioridhika. Baadhi ya wanawake hata uwape nini huwa hawaridhiki. Wanawasumbua wapenzi wao kwamba hawawatimizii mahitaji. Mwanaume anajitoa kumpa zawadi mpenzi wake, haridhiki tu.
Anaanza kuikosoa. Anasema haifanani na yeye, eti si ya hadhi yake. Akipewa fedha anasema hazitoshi. Kila siku ni malalamiko. Hampi nafasi mpenzi wake ya kufurahia uhusiano wao.  Anamfanya kila anapokutana naye awaze atapigwa mzinga.
Bahati mbaya sasa kila atakachopewa haridhiki. Anatamani kikubwa zaidi. Wanaume wengi siku hizi wanaichukia tabia hiyo. Hawapendi kuwa na mwanamke ambaye haridhiki na kile kidogo walichojaliwa. Wanaume wengi wakiona hivyo huwa wanaanza kumuepuka mwanamke wa ‘sampuli’ hiyo.
Kwake kunakuwa hakuna jema. Badala ya kumshauri mpenzi wake mbinu za kujikwamua kiuchumi yeye ni lawama tu. Kila siku analalamika kwamba wanaume wengine wanawapa wapenzi wao mahitaji muhimu lakini wa kwake hamtimizii.
Mwanaume akiona kila analofanya kwa mpenzi au mkewe haridhiki, hatoi shukurani ni rahisi kupunguza mapenzi kwa mtu wake. Taratibu anaanza kujitoa na hata kuhamishia mapenzi kwa mtu mwingine ambaye atakuwa anaridhika kwa kidogo anachopewa. Ni muhimu kuridhika.
3. KULINGANISHA
Hii nayo ni tabia isiyopendwa na wanaume wengi. Wanaume wanapenda kuishi maisha yao. Wanapenda kuheshimiwa na wapenzi wao. Wanapenda kumsikia mwanamke akisema; ‘hakuna mwanaume mwingine wa kufanana na wewe.’
Mwanaume anapenda kuhakikishiwa kwamba hakuna mwanaume mwingine kama yeye. Yeye ndiye mzuri au bora kuliko wanaume wengine hivyo mwanamke anapoanza kuonesha tabia za kumlimnganisha na mwanaume mwingine linakuwa tatizo kubwa.
Mwanaume anakasirika. Anaona ni rahisi mwanamke wake kumtamani mtu mwingine baki kuliko yeye. Sifa anazozitoa kwa mwanaume mwingine ni nzuri hivyo zinamvutia. Kama zinamvutia siku yoyote anaweza kushawishika kumfuata yule anayemvutia.
Wanawake wanapaswa kuwa makini katika eneo hilo. Hata kama umeona kuna kitu kizuri kimekuvutia kutoka kwa mwanaume mwingine, kamwe usije kumwambia mwenzi wako. Baki nalo moyoni. Jipe moyo kwamba mwanaume uliyenaye ndiye bora kuliko wanaume wote duniani.
4. KUWA TEGEMEZI
Wakati mwingine hata kama huna kitu lakini mwanamke unashauriwa kutojionesha huna kitu. Jioneshe kwamba una kitu hata kama huna. Wanaume wa sasa hawapendi kuwa na mwanamke ambaye kila kitu anategemea kutoka kwa mwanaume.
Hata kama huna kazi lakini ni vyema basi mwanamke akajaribu kufanya biashara ndogondogo ambazo zitampunguzia mwanaume wake makali ya kuombwa fedha kila wakati. Wanaume wanapenda kuwapa wapenzi wao fedha lakini inapozidi kipimo inageuka kuwa kero.
Yani kuanzia mahitaji ya kila siku, saluni, mavazi, ada ya watoto na mengine mengi mwanamke anamtegemea mwanaume. Yeye hataki kujishughulisha hata kidogo. Anataka aletewe, kazi yake kubwa ni kulea familia nyumbani.
Mwanaume akigundua mwanamke ni tegemezi mkiwa katika hatua za mwanzoni, ni rahisi kumkimbia mwanamke na kwenda kwa mwanamke ambaye angalau atakuwa hamtegemei kwa kila kitu. Mwanamke anayejiongeza hata kwa kutoa wazo la kuanzishiwa biashara ambayo itamfanya asiwe tegemezi.
5. KUTOKUA MUELEWA
Mwanaume anapenda mwanamke muelewa. Hapendi mwanamke mbishi. Anatamani kuwa na mwanamke ambaye akimueleza kitu, anajiongeza na kufanya zaidi ya pale mwanaume alipofikiria. Mwanaume anapenda mwanamke atakayeanzisha wazo la kimaendeleo na kumshirikisha mpenzi wake ili walifanye.
Wanaume wanapenda wanawake wanaowaelewa. Kama mwanamke anakuwa si wa kumuelewa mpenzi wake, kumsaidia basi mara nyingi mwanaume humkimbia.
6. KUJITAPA KWA KUWA NACHO
Hakuna mwanaume anayependa kutawaliwa. Wanawake wenye fedha mara nyingi wanakuwa na tabia ya kutaka kuwatawala wanaume. Anataka mwanaume afanye kile ambacho yeye anataka. Fedha zinamvimbisha kichwa na kuona kwamba anaweza kuwa na mamlaka ya kumuamrisha mumewe.
Anatumia fedha zake kama fimbo ya kumchapia mpenzi wake. Ni vigumu sana wanaume kumvumilia mwanamke wa aina hiyo, mara nyingi wanajiepusha naye. Kwa kutumia fedha zake anaweza kupata mwanaume mwingine lakini pia watashindwana katika suala la kumtawala.
7. KUWA BIZE SANA
Wanaume wengi hawapendi mwanamke tegemezi lakini pia wanaume haohao wanachukia mwanamke akiwa bize sana na kazi zake. Mwanaume hapendi kuona mwenzi wake anakuwa bize na kazi au biashara zake kiasi ambacho kitamfanya hata akose muda na mwenzi wake.
Unachotakiwa kufanya hapo mwanamke ni kujigawa. Hakikisha unakuwa bize na kazi lakini si ya kupitiliza maana itamfanya mwanaume akose muda wa kuwa na wewe pale anapokuhitaji, badala yake anaweza kwenda kwa mwanamke mwingine ambaye hayupo bize.

MMMH MWANAMKE HACHOMOKI HAPA ATA AWEJE

Ok umefanya bidii umeapproach mwanamke kwa mbinu za kistadi ukafaulu kuiteka atenshen na hisia zake kwako.
Umeongea na yeye kwa masaa na ukatumia mbinu murua mpaka akakupatia namba yake ya simu.

Siku ya pili umeanza kuchat naye mpaka umemzoea, amekuzoea.
Imepita siku kadhaa bado mnatumiana jumbe fupi lakini inafika mahali flani unaona kama gemu yako inaenda kimtindo ambao hautarajii.
Unajaribu kutumia mbinu nyingine za kijanja lakini unaona kama jumbe zenu zinafifia.

Relax.

Leo tumeamua kukuletea baadhi ya SMS unafaa kumtumia mwanamke kuyafanya maongezi yenu yawe ya kuvutia. Mwanzo nimekuchagulia baadhi ya SMS ambazo huzitumia binafsi wakati ambapo nacheza na jumbe kwa wanawake.
Zama nami.
SMS za kumtumia dem ili akupende zaidi

1. Ok tuseme unayechat na yeye ameangusha mstari wa kuchekesha. Badala ya wewe kujibu 'hahahah', unaweza kumjibu hivi:
Hahah! Njoo kwangu hii wikendi. Mimi ntaleta chakula wewe njoo na ucheshi wako.
ama
Hahah! Mbona hii wikendi tusiende kumtembelea John? Mimi ntaenda na chakula, wewe utakuja na ucheshi [Soma: Jinsi ya kufanya ili mwanamke akuachie namba yake ya simu mwenyewe]

2. Kama unayemzimia umekupa fununu ya kuwa ameboeka ama akikwambia ya kuwa hajafanya jambo la kumsisimua siku nzima unaweza kumjibu hivi:
Well, nlikuwa naenda matembezi sahizi kununua ice cream na vibanzi, wataka twende pamoja?

3. Kama unayempenda amekutumia meseji akikuambia ya kuwa amekumiss, ama alitamani ungekuwa katika mkutano flani ambao hukuwepo ungemjibu hivi:
Najua napendeka. Bila shaka najua pia mimi ningejimiss kama sikujiona katika huo mkutano :-)

4. Ukigundua kama mwanamke anakupenda halafu akakutext "hello, mambo vipi?" Unafaa kumjibu kwa kumthamini kujiona kama umempa kipao mbele. Waweza kumjibu hivi.
Hello mrembo. Nimetoka kwa mazoezi sahizi/gym...waweza kunipa muda kiasi nioge kabla sijarudi?

5. Jaribu kutumia jina la unayemzimia kila baada ya sms 4-5 hivi. Utakuwa unaigonga hisia yake.
Hi Mourine, usiniambie utakosa kuhudhuria. Utakosa mengi
Mambo Pete, wasemaje

6. Kama umeona sms ambayo imekufurahisha ama kukuchekesha, huyo mwezako hawezi kuona. Hivyo lazima umjibu kwa mtindo flani kuashiria ya kuwa umefurahishwa. Mtumie meseji ya kuzidisha jambo.
Lol. Hahah umenichekesha karibu uvunje mbavu zangu. Hivi huu ucheshi wote unautoa wapi? [Soma: Sheria za kufuata wakati unapomtumia Sms mwanamke]

7. Wakati flani inaweza kutokea unayechat naye akakueleza mambo ambayo aliweza kufanya hadi akafanikiwa. Usipoteze nafasi hii nzuri ya kutoa pongezi yako kistadi
Wow! Niseme nimependezwa ama nimependezwa na wewe....chagua moja ;-)

8. Kama mazungumzo yenu yamefikia level ya tenshen ya kimapenzi unaweza kumtext hivi
Hivi usiku huu umevalia nini?
Eti wataka kuniambia umelalia tumbo lako ama mgongo wako?

9. Kama ni sms ya kwanza ya siku jaribu kuwa mfidhuli na msukaji wakati uo huo
Hello. Kwani wewe ni nani? Ama ni yule mwanamke mrembo niliyekuwa nikichat naye jana.

10. Kubadilisha gumzo ghalfa wataki ambapo mnarushiana sms za mapenzi
Wewe: Kabla hatujaendelea na chat, kuna kitu nataka kukuambia...pole.
Mwenza: Ok, niambie hakuna shida
Wewe: Siku ya kwanza nlipokutana na wewe nilivutiwa na wewe hapo hapo ;-)

11. Unaweza kumwitisha mwanamke mtoke out bila kuifanya ionekane kama ni deti
Wewe: So kawaida siku za wiki nyakati za jioni unafanya nini?
Mwenza: Nini nini nini
Wewe: Basi kesho naona utakuwa ukifanya jambo tofauti wakati huo
Mwenza: Kitu gani kimekufanya mpaka useme hivyo?
Wewe: Sababu kesho naja kukuchukua nikutembeze ulijue jiji. Tutapumzika kwa mkahawa flani mida ya saa tatu usiku...na tafadhali usiulize maswali ya zaidi. [Soma: Sms za kufanya maongezi yako na mwanamke yavutie]

12. Kama wewe na mwenza wako mnasoma ama mnafanya kazi sehemu moja unaweza kumtumia jumbe io hio siku baada ya nyinyi kufumukana.
Leo ulikuwa umevalia kunipendeza...ni ukweli ama nimekosea ;-)
Ok. Matumizi ya hizi sms zitalingana na wakati na jinsi ambavyo zinatumika. Huu ni mfano tu, unaweza kujeuza sms hizi ili zifanye kazi kwako. Usisahau kusoma machapisho ya awali tuliyoyachapisha ili unoe makali yako wakati wa kumtext mwanamke.

Friday 8 June 2018

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI WAKATI WA HEDHI

Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajari sana afya zao na si kuzidumaza na kuendekeza hisia kwani hiloo ndilo kosa kubwa la vijana wengi wa siku hizi...Zifuatazo ni baadhi ya madhara yanayoweza kutokea endapo wawili hawa wakafanya ngono wakati KE yupo katika siku zake{period}..
             Kwa mwanaume madhara
1.Kupata maambukizi katika njia ya mkojo hadi kwenye kibofu.

 2.Maambukizi katika tezi dume(Prostetits) hii inaweza kuathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume.

 3.Kuziba kwa njia ya mkojo.

 4.Utasa au ugumba.

 5.Ulegevu wa misuli ya uume na upungufu wa nguvu za kiume.

 6.Athari mbaya ya kisaikolojia kwa kuwa anafanya tendo katika mazingira machafu hali itakayompelekea kutolifurahia tendo kutokana na hali ya umaji maji,utelezi, au harufu kali na mbaya na hivyo kuona kuwa mwanamke ni mchafu.Pia hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata hufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi.
           
                 Kwa mwanamke madhara

1.Kupatwa na mambukizi viungo vya ndani vya uzazi kama vile shingo ya kizazi,mirija ya uzazi kwa ujumla wake anaweza kuwa na tatizo la PID( PELVIC INFLAMATORY DISEASES) tatizo ambalo linaweza kuathiri mfumo wake wa uzazi.
 2.Maumivu makali ya tumbo hasa kwa wale wanaopatwa na maumivu wakati wa hedhi.(Dysmenorrhea).

 3.Utokaji wa damu unaweza ukaongeza kuliko vile inavyotoka kwa kawaida yake.

 4.Utasa au Ugumba.

 5.Kuvimba kwa kuta za ndani za uke kwa kuwa wakati wa hedhi zenyewe huwa tayari zimevimba au kutanunuka hali pia itamsababishia maumivu kwenye uke wakati wa tendo la ndoa.

 6.Athari mbaya ya kisaikolojia:Mwanamke atahisi kuwa mumewe hamjali wala mpendi bali anajali hisia zake za kingono na kwamba yeye anatumika kingono tu.Pia kuona kuwa mumewe ajali afya yake pamoja na maumivu anayoyapata lakini bado huyu mume anataka KU-DO.

NOTE
 Hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata hufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi.

JINSI YA KUPATA (kutongoza) JIMAMA /SUGAR MAMMY HIZI NJIA 7

Wanawake wakubwa huwa wanakuwa na ladha tofauti ikija kwa maswala ya mapenzi – ile ambayo wanaonyesha kupenda wanaume wadogo kiumri. Na kwa sababu wanaume wengi huwa wanavutiwa na aina hii ya wanawake, bila shaka wanaume hawa hutaka kujua jinsi ya kuwavutia wanawake wakubwa kiumri. Uzuri ni kuwa uhusiano na mwanamke aliyekushinda umri siku hizi inaonekana jambo la kawaida.
So, kama unataka kujua jinsi ya kuwatongoza wanawake wakubwa basi hizi mbinu saba zitakusaidia vizuri.

#1 Thamini kile ambacho anakupatia

Kama unataka kujua jinsi ya kutongoza wanawake wakubwa kiumri, basi unapaswa uthamini kile ambacho anacho. Kwa lugha nyingine ni kuwa unapaswa kusimamisha fikra zako za kuangalia miaka yake au mikunjano ya uso wake, na uanze kufikiria mambo ambayo anaweza kugawa na wewe ikiwemo mapenzi. Wanaume wengi hudhania kuwa wanawake wadogo ndio huwa na ujuzi ikija na maswala ya mapenzi lakini huwa si ukweli.
Ijapokuwa ni kweli kuwa kujua jinsi ya kutongoza wanawake wakubwa kunahitaji mmoja kuzoea, yaani utahitajika kuthamini na kutambua umri wake, kiujumla; utakuja kujua baadaemkuwa utakuwa umechukua hatua kubwa katika kudeti wanawake wadogo na wale wa wasiwasi. Kwa mfano hutapata mwanamke aliyekomaa akikimbia kwenda msalani ili kuongea na mashoga zake kuhusu deti aliyoko. Hii bila shaka itakuwa ni mwamko mpya wa kutongoza na pia utaboresha uwezo wako wa kutumia mistari kiurahisi na haraka.

#2 Mnyeshee heshima

Wakati unapojifundisha jinsi ya kumtongoza mwanamke mkubwa, weka kwa akili yako kuwa atataka kupewa heshima zake zaidi ya vile wanawake wadogo utakavyowapatia. Hii ni kwa sababu ana experience ya juu zaidi ya maisha. Na kwa sababu ambazo zitategemeana na yeye, mwanamke aina hii anaweza kuwa asiwe huru kufunguka na kukueleza maisha yake ya zamani ama kukufungukia kuhusu maisha yake. La muhimu zaidi ni kuwa usimwonyeshe kuwa lengo lako kuu kwake ni kumuonyesha kuwa unatoka deti na yeye ama una uhusiano wa kimapenzi na yeye kwa sababu huna jingine la kufanya au umelazimika. Michezo kama hii haiwezi kufanya kazi kwa mwanamke aina hii – kumbuka hilo.

#3 Muonyeshe kuwa wewe ni classy, mjanja na usiyesomeka

Kama unataka kujua jinsi ya kuwatongoza wanawake wakubwa waliokupita umri, basi ni jambo la muhimu kabisa kuhakikisha kuwa unakuwa mjanja na kuwa na tabia za kukomaa. Wanawake wakubwa tayari wanaexprerience ya kuwa na deti ambazo zilikuwa mbaya awali, so kama unataka kumshawishi mwanamke ambaye ni mkubwa wako kiumri vizuri, basi utahitajika kupandisha gemu yako iwe ya juu.
Kimsingi, wanawake wakubwa hawatakuwa interested na wanaume wenye nyege ambao wanashindwa kumaintain gumzo la kawaida mara kwa mara. Badala yake watatafuta mwanaume ambaye ni gentleman ambaye anaweza kuongea kuhusu mambo ya kisiasa na yule ambaye anaweza kutofautisha aina aina za duvai ama angalau yule ambaye anaweza kuchagua sehemu nzuri ya kutoka dinner. So, kadri unapozidi kuwa mjanja, ndipo inazidi kuwa rahisi kumtongoza mwanamke aliyekupita kiumri kuweza kuwa na wewe.

#4 Usijionyeshe

Kuonyesha vitu unavyomiliki ama kuonyesha ujuba wako hakutakusaidia kutongoza wanawake waliokupita umri. Siku hizi wanawake wanapenda kupata nafasi ya kuonekana kuwa wana madaraka flani, so mwanamke atapoteza interest na wewe haraka sana kama utaanza kujidai na kuringa kuhusu idadi ya wanawake ambao umefanya nao mapenzi ama idadi ya magari unayomiliki. Kama umevalia suti ya kushonesha ama una Mercedes ya gharama si lazima umwambie kuvihusu kwani atajionea yeye mwenyewe. Badala yake msifu na kumpongeza kwa mambo aliyofanikiwa kufanya. Hii ni njia rahisi ya kuweza kuwatongoza wanawake waliokupita kiumri na wakakukubali kirahisi.

#5 Jiamini

Njia nyingine rahisi ya kutongoza mwanamke aliyekupita umri ni kwa kuonyesha kuwa unajiamini kwa kila kitu unafanya au kuzungumza. Wanawake aina hii huwa kwa kawaida wanapenda wanaume ambao wanauwezo wa kutatua tatizo lolote ambalo watarushiwa usoni mwao. So, kama wewe ni mwanaume ambaye hujafikia kiwango cha kujiamini , basi ni wakati wako wa kuchukua hatua ya kuhakikisha ya kuwa unajenga ujiaminifu wa kuweza kuongea na wanawake. Unaweza kujifundisha kuhusu biashara, sanaa na mambo ya kisasa, silaha ambayo unaweza kuitumia iwapo mwanamke aina hii atazua mjadala akiongea kuhusu swala kama hili. Wanaume ambao wanaelewa kile ambacho wanaongea huwa wanakuwa na confidence zaidi mbele ya wanawake.  Pia wanaonyesha utawala ikija kwa maswala ya mahusiano. Kama unataka kuwa bingwa katika kutongoza wanawake waliokupita umri, basi confidence itakuwa ni silaha kubwa katika mpango mzima.

#6 Yaweke mapenzi yawe ya hali ya juu

Kama unataka kumshawishi mwanamke aliyekushinda kimiaka vizuri, unafaa kuhakikisha kuwa unaweka mapenzi yawe juu. Hii inamaanisha kuwa, ijapokuwa hatakuwa na tabia za kama wanawake walio wadogo, unapaswa humchukulia kama mwanamke mdogo. Mnunulie chokoleti, maua na zawadi ndogo ndogo mara moja au nyingine. Msifu wakati amevalia nguo nzuri ama anapopendeza mnapotoka out. Mambo haya madogo madogo ambayo unamsifia mwanamke yatamfanya mwanamke kuwa na furaha na atapendezwa na wewe.

#7 Usitaje kuhusu utofauti wa miaka yenu

Na lile jambo muhimu la kuzingatia wakati wa kujifunza kutongoza wanawake waliokupita umri ni: kutotaja tofauti ya miaka yenu. Hata kama haujiskii huru na kuwa na yeye mara ya kwanza, hupaswi kuzungumzia swala hili. Ama unaweza kuharibu nafasi yako ya kumtongoza. Badala yake makinika na mambo ambayo yanahusiana nyote wawili, kama vile kuongea kuhusu mambo mnayopenda au kuongea kuhusu filamu. Pia unaweza kuingiza ucheshi katika mazungumzo yenu; hii hufanya kazi nzuri kwa mwanamke.
So hizi ndizo mbinu unapaswa kuzijua ikija na maswala ya kutongoza mwanamke ambaye amekushinda kiumri. Upo!

Thursday 7 June 2018

VIGEZO KUMI (10) AMBAVYO UKIVITUMIA USHINDWI KUPATA MKE/MUME BORA

Wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.
Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika kashfa ya kuwa na uhusiano na dazeni ya wapenzi.
Wanasema msichana/mvulana anayeingia katika uwanja wa mapenzi kwa kuwa na hisia za kufanya ngono, hukosa umakini wa nani anafaa kuwa mpenzi wake kutokana na kukosa elimu ya uhusiano kutoka kwa wazazi wake.
Kwa mantiki hiyo, bila upembuzi wa kina, mtu asiye na elimu ya jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli hujikuta ameangukia kwa mwanaume/mwanamke asiyemfaa, ambapo baadaye huamua kuachana na huyo na kwenda kwa mwingine kujaribu bahati tena ya kupata penzi la kweli.
Zinatajwa zawadi, hitaji la kusaidiwa kimaisha, mvuto wa kimahaba na mazoea kuwa ni vichocheo vinavyowaangusha wengi kwenye mapenzi na wasiowafaa.
Ukweli ni kwamba mtu aliyenaswa kwa ‘ujinga’, huwa hakatwi kiu ya penzi na mwanaume/mwanamke asiye chaguo sahihi la maisha yake. Hivyo hufikia maamuzi ya kujiingiza katika uhusiano mpya mara 2,3,4,5 na kujikuta wakiambulia wanaume/wanawake wale wale wasio sahihi kwake.
Mwanamnke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Ramla aliwahi kuniomba ushauri, akasema amechoka kuchezewa, maana kila mwanaume anayempata anakuwa si chaguo lake. Lakini kibaya zaidi kuachia ngazi au kutemwa huku akiwa tayari ameshafanya mapenzi na wanaume hao.
Na leo my best friend na mdau wangu mkubwa wa Blog hii Rayha ametaka kujua vigezo gani vya kuzingatia ili kumpata mume/mpenzi borana mwenye mapenzi ya kweli na ya dhati , hii ameiandika kwenye ukurasa wake wa facebook.
Nia ya swali lake ilikuwa ni kuniomba njia za kumtambua mwanaume mkweli bila kufanya naye mapenzi? Aliuliza hivyo huku akiwa na hoja kuwa wanaume wengi hawako tayari kuwa na uhusiano na msichana bila kufanya naye mapenzi na wakati huo huo huficha tabia zao chafu wakilenga kumnasa wamtakaye.
Binafsi nafahamu kuwa kuna wanawake/wanawake wengi ambao hujiingiza katika mapenzi kwa kutekwa na hadaa za mwili na kujikuta wanacheza mchezo wa kitoto wa pata potea.
Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida kwa pande zote mbili yaani kwa mwanamke na mwanaume kwani kuacha au kuachwa bila kufanya mapenzi ni bora kuliko kuwa muonjaji, tabia ambayo huathiri kisaikolojia na ni hatari kwa afya.
Ifuatavyo ni njia ya kisaikolojia ambayo mwanamke anaweza kutumia kumpata mwanaume mwenye kumfaa bila kufanya naye mapenzi tena ni jibu sahihi la kuondokana na mchezo wa kubahatisha kwa wanaume wanaosaka wapenzi wa kweli na si taksi bubu ambazo mchana huweka namba za njano usiku nyeusi.

KWANZA- Ni ya mwanamke/mwanaume mwenyewe kujifahamu na kufahamu vigezo vya mpenzi anayemhitaji katika maisha yake. Ifahamike kuwa kila mwanaume ana wake na kila mwanamke anaye wake wa maisha pia. Hivyo asiyekufaa wewe anawafaa wengine, kinachotakiwa ni wewe kujitambua kwanza ili umtambue umtakaye.
Wanawake/wanaume wengi hawafahamu wanahitaji wapenzi wa aina gani, hivyo wanajikuta kama watu wanaoingia sokoni bila kujua wanataka kununua nini? Ndiyo maana wengi wameangukia kwa matapeli wa mapenzi, wakachezewe na kuumizwa moyo bure.

PILI- Ni kuketi chini na kuorodhesha vigezo stahili vya mwanaume/mwanamke unayemtaka. Baada ya hapo orodhesha tena kasoro za mwanaume/mwanamke unazoweza kuzivumilia na zile ambazo huwezi kuzivumilia kabisa. Hii inatokana na ukweli kwamba mwanadamu hajakamilika, ana upungufu wake.

TATU- Anza kumsaka kwa kutumia milango ya fahamu. Cha kufanya hapa ni kuruhusu macho yawaone wanaume/wanawake na kuwatathmini kwa maumbile yao ya nje na kisha kupata majibu kutoka moyoni juu ya kuvutia kwao ambako hutambulika kwa moyo kurithika na mwili kusisimka.

NNE - Kuanzisha safari ya kuchunguza tabia za nje na za ndani kivitendo. Hapa suala la ukaribu baina ya mwanaume na mwanamke linahitajika. Msingi unaotajwa hapa ni kujenga mazoea ya kawaida yasiyokuwa na masuala ya kimapenzi na ngono. Kutambuana, dini, viwango vya elimu, kabila na makundi ya marafiki ni mambo ya kuzingatia.
Katika uchunguzi huu mwanamke/mwanaume anayetafuta mpenzi hana budi kupitia na kumlinganisha huyo aliyempata na vigezo alivyojiwekea. Zoezi hili liendane na kuweka alama ya pata kila anapobaini kuwa mwanaume/mwanamke anayemchunguza amepata moja ya vigezo vyake. Lakini pia aweke alama ya kosa kwa kila kasoro anayoivumilia na ile asiyoivumilia.

TANO - Ajipe muda wa kutosha kati ya miezi sita na mwaka kumchunguza huyo mwanaume, kisha aketi chini na aanze kujumlisha alama za vigezo alivyovijiwekea na jinsi mwanaume huyo alivyopata au kukosa.
Ikibainika mwanaume aliyechaguliwa amepata zaidi ya nusu ya alama ya vigezo vilivyowekwa, basi ujue kuwa anafaa. Kuhusu alama chache alizikosa anaweza kusaidia kuzikamilisha polepole wakati wa maisha ya ndoa.
Lakini angalizo kubwa kabisa ni kwamba mwanaume/mwanamke akionekana kuanguka katika kasoro zisizoweza kuvumilia kwa zaidi ya alama tatu. Yaani kwa mfano ni mlevi, mwizi, muongo, mbishi na katika hizo kashindwa 3, huyu hafai, ni vema akawekwa kando kwani huwezi kubeba kero 3 kwa pamoja katika maisha.

SITA - Kusajili mapenzi yenye malengo yanayotekelezeka. Lazima baada ya kuchunguzana kwa kina wapenzi watengeneze muongozo wa mapenzi yao. Wasiwe kama wanyama, lazima mipango ya wapi wametoka walipo na wanapokwenda.
Hata hivyo watalaam wanasema lazima wapenzi wapime umakini wao kwa vitendo. Kama wamekubaliana kuoana, suala la mume kwenda kujitambulisha kwa wakwe na hatua ya kuiendea ndoa ionekane. Usiri usiwepo tena. Kila mmoja amuone mwenzake kama sehemu ya maisha yake na mara zote wasaidiane kwa ukaribu.

SABA - Ni vema ndugu wakashirikishwa ili kuwapa nafasi na wao ya kuamua kama mapenzi hayo ni budi yakaendelea au yakasitishwa. Ni ukweli ulio wazi kwamba licha ya wengi kupuuza maamuzi ya ndugu kwa madai ya kuwa hawana nafasi kwa wapenda nao, lakini uchunguzi unaonesha kuwa wapenzi wengi huacha kutokana na sumu za ndugu hasa pale wanapokuwa wameonesha kutounga mkono uhusiano wa wanaotaka kuoana

NANE - Hatua hii ni ya kuweza kuzungumzia ufanyaji mapenzi, hapa nina maana kama wapenzi wamejizuia kwa muda mrefu na wanahisi kuchoka wanaweza kujadiliana kuhusu hilo na kuamua ufanyaji huo wa mapenzi una lengo gani, kama ni kuburudisha miili basi suala la afya na uzazi salama litazamwe.

TISA - Kutimizwa kwa ahadi ya kuoana ni hatua ya tisa ambayo nayo si busara ikachukua muda mwingi kutekelezeka, kwani ucheleweshaji mwingi wa ndoa nao huvunja moyo na mara nyingine umewafanya wengi kutoaminiana.

KUMI - Kuamua kuwa mwili mmoja kwa kuvumilia na kuwa tayari kukabiliana na changamoto zote za maisha ukiwemo mkwamo na dhiki ambazo huchangia sana ndoa nyingi kuvunjika. Hapa pia ni wajibu wa wanandoa kuchukuliana udhaifu na kusaidia, kuwa tayari kujifunza na kujali zaidi upendo kuliko hisia za mwili ambazo wakati mwingine hudanganya na hivyo kumfanya mwanandoa asivutiwe na mwenzake.
Mwisho ni kwamba kanuni hizi huwafaa watu wazima mapenzi ya kitoto hayawezi kujenga misingi hii imara mara nyingi ni kudanganyana, kuharibiana maisha, kupeana mimba na maradhi.

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KUPITA KIASI

Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta madhara kwa watu wanaoendekeza sana ngono.
Kuna watu ambao hawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu.
 Mtu anaweza kuwa na mke na kujikuta kila siku anatumia ‘chakula cha usiku’ kwa sababu tu hakuna wa kumkataza na kwamba ana haki ya kufanya hivyo kwa sababu amelipa mahari.
Hilo linaweza kuwa jambo jema kwa upande mwingine, lakini uchunguzi unaonyesha kuwa watu wengi kati ya watu wanaolalamika kupoteza hisia za kimapenzi hutoka katika kundi la watu wapenda ngono.
Pamoja na tatizo hilo, yapo madhara mengine mengi ambayo mtu asiyekuwa na kiasi katika tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo, hivyo ni vema tukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza miili kiasi cha kulazimika kufanya mapenzi kila tunapokutana hata kwenye nguzo ya umeme na chini ya miti kwa vile tu miili imetaka kufurahika.

KUPOTEZA HAMU YA TENDO

Watu wenye pupa za kufanya mapenzi hupoteza haraka hisia za kimapenzi kwa wapenzi wao kutokana na sababu za kisaikolojia zinazoweza kujitokeza wakati wa ufanyaji wa tendo la ndoa mara kwa mara.
 Sababu hizo zinaweza kuwa ni pamoja na zile za kumzoea mwenza kiasi cha kukosa msisimko hata anapomuona akiwa mtupu.
 Aidha kukinai haraka staili za kimapenzi kunatajwa kujitokeza kutokana na kukutana mara kwa mara kwa aina zile zile za mapenzi na pengine sehemu moja, kitanda kimoja na chumba kile kile, jambo ambalo linaweza kumfanya mhusika asione jipya kutoka kwa mwenza wake na hivyo kupoteza hamu naye na kuhisi kama hawezi tena kushiriki tendo la ndoa kikamilifu.

KUUJAZA MWILI TAMAA KUBWA

Tabia ya kufanya mapenzi mara kwa mara huongeza uzalishaji wa homoni mwilini na kuufanya mwili uwe na msukumo mkubwa wa kutaka kuridhishwa kwa tendo la ndoa bila kukosa na hivyo kumfanya mhusika asiwe mtu mwenye uwezo wa kuzuia tamaa na kukosa chaguo la nani wa kufanya naye mapenzi na kwa wakati gani
 Watu wanaojiendekeza katika kufanya mapenzi mara kwa mara ndiyo wale ambao kila wanayemtazama barabarani humtamani bila kujali hadhi yake.
Hawa ndiyo wanaobaka, kusaliti ndoa zao hata kwa watumishi wa ndani au kufanya mapenzi na watoto wao wa kuwazaa kwa vile akili zao huwa zimeathirika kwa tamaa ya mapenzi.
Unapokuwa mtu wa kufanya mapenzi mara kwa mara huwezi kuwa na uwezo wa kuzuia tamaa yako. Mumeo akiondoka siku mbili unatamani kuwa hata na houseboy ili akukate kiu ya penzi.

KUPOTEZA RAHA KAMILI YA TENDO

Raha ya tendo hutegemea sana hisia iliyokuzwa kutokana na mapenzi sahihi na kiu ya kufanya mapenzi, hivyo basi ukiwa mtu wa kufanya mapenzi kila mara unaweza kupoteza msisimko wa tendo na kujikuta unapata furaha ambayo haikutoshi kumaliza tamaa yako.
 Kama ni mapenzi utakuwa unayafanya kwa mazoea tu na msisimko wako utakuwa mdogo!

KUPOTEZA NGUVU ZA MWILI

Madhara mengine yanayoweza kupatikana kwa kufanya mapenzi mara kwa mara ni pamoja na kupoteza nguvu nyingi za mwili.
Kama tujuavyo tendo la ndoa hasa kwa wanaume huwafanya watumie nguvu nyingi, hivyo kuufanya mwili uchoke.
Aidha lishe inapokuwa ndogo kwa wafanya mapenzi mwili hukosa nguvu za kutosha kuhimili misukosuko ya kimaisha.
Sambamba na hilo mbegu za uzazi zinazotoka kwa wanaume wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa dhaifu.

KUPATA MAGONJWA

Kama tulivyojifunza kuwa watu wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa na tamaa na hujikuta wanafanya mapenzi holela ambayo huweza kuwasababishia magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi.
Ufanyaji wa mapenzi usiokuwa na msukumo wa kutosha hasa kwa wanawake huwafanya waishiwe msisimko na kuzifanya sehemu zao za siri kutotoa ute unaoweza kuwakinga na michubuko wakati wa kujamiiana na hivyo kuwasababishia michubuko itakayoweza kuleta maambukizi ya haraka ya magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi.
Baada ya kungalia madhara hayo machache ni vema kwa wapenzi kupunguza kiwango cha kufanya mapenzi ili kuifanya miili iwe na uvumilivu unaoweza kumsaidia mtu kukaa kwa muda mrefu bila kumsaliti mpenzi wake hata kama atakuwa amesafiri mbali naye kimasomo, kikazi au kibiashara.

KAMA UTAMFANYIA IVI MPENZI WAKO HAKUACHI MAISHANII MWAKO

 "Kwenye mahusiano ya kimapenzi ni vizuri uzito wa mahusiano uwe pande zote mbili, mapenzi huwa matamu zaidi iwapo umpendae naye anakupenda kwa kiwango umpendacho wewe, na si vinginevyo maana tofauti na hapo mapenzi huwa kama kero au mzigo na hisia hukupelekea kujiumiza moyo na kujiharibu kisaikolojia".

Wewe ni mtu mzuri na unampenda sana msichana wako, kiasi kwamba unamkubali sana mpaka unampa dunia yako kumuonyesha unavyomjari, ndani ya muda mrefu mliopo kwenye uhusiano umeshajitoa kwa mengi, kimuda na hata kifedha, unamchukua kutoka kazini kila siku ndani ya juma ili tu asije kuchosha miguu yake mizuri na laini.

 Unamsaidia kwa kila jambo analohitaji na umeacha kutumia muda wako na marafiki zako ili kusudi uwe na muda mwingi zaidi wa kutumia naye, umemnunulia gauni la gharama na vingine vingi ili apendeze bila kuchoka huwa unabadilisha ratiba zako ili ziweze kuendana na za kwake ili muwe pamoja na kumuonyesha jinsi gani alivyo na nafasi kubwa ndani ya moyo wako, na unafanya yote haya bila ya kumtaka kitu chochote kutoka kwake.

Na hata hivyo ni mara moja tu siku ule ulipokua unaumwa ambapo ulimuomba akupikie ugali na akakuchukulie mishikaki unayoipenda pale uswazi teki awei, ambapo alikataa kwa upole na kukwambia hajui kupika vizuri ugari na wewe ulikubali kwa roho safi maana hupendi kuwa kero kwake. Sasa turudi kwenye uhalisia. Rafiki sijui nikuambieje ili unielewe, kaka hapa unatiketi moja tu inayokwenda bila kurudi ambayo kupeleka kwenye nchi ya mvunjiko wa moyo ambapo wapo wapenzi wake wa zamani aliowaacha. Ni muda wa kumuuliza, "Hivi ni kipi umenifanyia mimi hivi karibuni?".

Kila ukiwa unamfanyia kitu kizuri nahisi labda unaona kama unajiongezea pointi nyingine za ziada, lakini kiukweli ni kwamba kama yeye hatojihusisha na kuchangia kwa kukufanyia wewe hayo mambo mazuri unayomfanyia yeye kwenye uhusiano wenu, jua kabisa nguvu zako zitakua hazina faida yeyote ile, ni kama maji mtaroni yanayopita tu, na hapa ndipo kiumeni.com tunapokwambia kwanini!.

 Kikawaida tunaweza kuwapa ushauri wanaume wengi wanaokutana na haya wavunje uhusiano tu pale mwanamke anapomtumia mwanaume bila kurudisha upendo wowote ule anaofanyiwa, hapa simaanishi yale mambo yetu mengine ya kitandani. Lakini kama kweli umejiweka kwenye huu uhusiano kwa roho yote na unataka uhusiano uendelee kuwa wa muda mrefu lazima ufanye na yeye awekeze hisia zake na hata pesa zake kwenye huu uhusiano hata kama ni asilimia 50%.

 Hapa haijarishi wewe ni tajiri kiasi gani, ni mzuri kiasi gani au ni mwanaume mwenye mahaba yote duniani kiasi gani, kama mwanamke hana kitu chochote alichowekeza kihisia, iwe ki muda au ki fedha lazima atakuacha iwapo mtu mwingine ambaye yuko zaidi ya wewe akitokea.

Kama sheria za kiumeni.com zinavyosema(kama msomaji utakua unazijua), "Mtu mpya na ambaye ni zaidi yako huwa yuko nyuma anakuja, anasubiri ukosee kidogo tu", na kama hata jiwekeza kwako likija dili ambalo ni zaidi ya wewe unalompa lazima ataondoshwa tu Bado hujaniamini tu? Kama ukiwekeza kiasi fulani cha muda na fedha kwenye mpango flani, iwe kununua nyumba au kuanzisha biashara, utakua unajua uchungu na uzito wa kitega uchumi chako tofauti na ukiwa umepewa bure.

 Sheria hizi hizi ndizo zinazofanya kazi kwenye mapenzi, ni ubinadamu kuona uzito na uchungu kwenye kitu ambacho umekiwekeza, sasa nini swali kwako, "Ni nani anayechangia sa kwenye uhusiano wenu?, ni wewe au ni malaika wako mrembo? Fikiria kwa umakini maana uhalisia wa jibu lako tayari limeshafanya kazi kubwa kuutengeneza uhusiano wako jinsi ulivyo sasa. Mwachie baadhi ya malipo afanye yeye...

Inabidi uwe kama vocha isiyorudishwa, fikiria kila saa msichana wako akienda kununua mahitaji yake, analipia kwa vocha na anapata muda wa maongezi, atafanya hivi kwa kipindi kirefu mpaka ndani ya muda atakuwa na muda wa maongezi ambao anaweza kuutumia kuongea kwa miaka mingi, sasa vipi kampuni nyingine ya vocha ikiingia na kumpa ofa nzuri zaidi?, kwa unavyofikiria anaweza kubadilisha kampuni?

Kama hata kuwa na muda wa maongezi mwingi na wewe, basi kuna nafasi kubwa atabadilisha kampuni bila kujiuliza na kwa upande mwingine kama atakua na muda wa maongezi mwingi wa miaka kumtosheleza maongezi yake kutokana na jinsi alivyowekeza, hawezi kubadilisha kampuni. Umeipata pointi yamgu, Rafiki? Kazi yako...

Ni kazi yako kumfanya msichana wako awekeze muda na hela kwenye kampuni yako ya vocha ili ikija kampuni nyingine isiweze kumchukua akili kwa ofa nzuri itakazokuja nazo. Kwa kuwa sasa hivi nimeshakuelewesha umuhimu wa kumfanya msichana wako awekeze kwenye uhusiano, sasa utafanyaje ili aanze kuwekeza? Omba misaada:

Kitu muhimu cha kuangalia sasa hivi ni misaada, kama akikupa msaada atajishauli amefanya hivyo kwa sababu unamvuto kwake na unastahili kufanyiwa hicho alichokifanya, acha sasa hivi akuhudumie vizuri, mwache sasa hivi akupikie, saa zingine mwombe aje akupitie kazini na mwache alipie baadhi ya vitu ambavyo vipo ndani ya uwezo wake.
 Ukiishiwa vocha usione aibu kumtumia tafadhari niongezee salio mara moja moja. Hii ni moja ya sababu hutakiwi kuweka mayai yote kwemye kapu moja, na ndio maana huwezi kumwacha mwanamke ambaye hakujali kwa sababu wanaume wengi wanakuwa wamewekeza muda mwingi na fedha kwa huyo mwanamke.

Muda ni pesa: unaweza kumwongezea hamasa zake kwako kwa kumfanya atumie muda mwingi na wewe kwa kufanya vitu unavyovipenda na sio anavyovipenda, hii itamuonyesha uzito wako kwake.

Sio mbaya kumbeba mwanamke kama dhahabu, ila hakikisha ndani ya uhusiano kila mmoja anawekeza na sio uhusiano uwe unaegemea upande mmoja tu, kama kweli anahisia na wewe basi hisia zake zitamwendesha na yeye akujali wewe kama ambavyo zinakuendesha wewe.

Sunday 3 June 2018

NJIA 7 ZA KUMTEKA HISIA MWANAMKE KATIKA SEHEMU YOYOTE

Kumfanya mwanamke apandwe na nyege ni ndoto ya kila mwanaume ambayo angependa kutimiza. Kutaka kujua mbinu hii, nimekuletea hatua 8 ambazo ukizifuatilia kwa umakini utafaulu wakati wowote.
Ok, kabla tuanze ngoja niweke wazi...jambo hili si rahisi.
Kumfanya mwanamke kupandwa na nyege lazima nyote wawili muwe na tenshen ya kimapenz
Ukiingiwa na tamaa ya kuruka hatua hata moja katika hii orodha nilioiweka hapa basi fahamu ya kuwa utaharibu mpango mzima, na itakuwa vigumu kwako kutimiza ajenda yako chafu.
Nafasi ya kumfanya mwanamke apandwe na nyege mara nyingi huwa haipangwi, hutokezea tu. Hivyo ukipata nafasi kama hii unaweza kuitumia kadri uwezavyo.
Jinsi ya kumfanya mwanamke apandwe na nyege
Kabla kufanya lolote na mwanamke unayeazimia kumfanyia kitendo hiki lazima ulete kemia ya kimapenzi kati yenu. Njia nzuri ya kufanikisha hivi ni kutumia mbinu ya kumtext ama kutumia jumbe fupi za kimapenzi. Tumia mbinu hii tumsuka na kumrushia maneno ya kuvutia mpaka akuzoee.
Nafasi ya kumfanya mwanamke apandwe na nyege mara nyingi huwa haipangwi, hutokezea tu. Hivyo ukipata nafasi kama hii unaweza kuitumia kadri uwezavyo.
Jinsi ya kumfanya mwanamke apandwe na nyege
Kabla kufanya lolote na mwanamke unayeazimia kumfanyia kitendo hiki lazima ulete kemia ya kimapenzi kati yenu. Njia nzuri ya kufanikisha hivi ni kutumia mbinu ya kumtext ama kutumia jumbe fupi za kimapenzi. Tumia mbinu hii tumsuka na kumrushia maneno ya kuvutia mpaka akuzoee.
2. Maslahi yake uyazingatie
Usijaribu kutumia lugha ya kutongoza ama utamfanya aanze kukushuku. Tayari anajua kuwa miguso ya mikono yako ya mara kwa mara inaashiria kitu fulani. Kile unachotakiwa kufanya ni kuivuruga akili yake kwa kuleta mada ambayo itamvutia.
Ichukue atenshen yake kwa kumgusia maswala ya udaku ama skendo ambalo umeliskia mahali fulani. Iwapo utaendelea kuzungumza na yeye na kumfanya awe na shangwe, basi atachukulia kubanana kwenu na miguso yenu ya mikono ni jambo la kawaida tu na halina ajenda yeyote.
3. Anza kutumia lugha ya kumsuka/flirt
Kumfanya mwanamke apandwe na nyege ni jambo rahisi sana iwapo nyote wawili mtakuwa katika sehemu ambayo haina usumbufu. Aidha inaweza kuwa chumbani, maktabani, ndani ya basi nk. Mahali popote pale mlipo ilimradi uhakikishe unamkeep busy na kufanya yale ambayo yanastahili kufanywa.
Wakati mtakuwa mnaendelea na gumzo lenu, unafaa kutumia maneno ya kumsuka lakini yawe ya kichini chini. Mfano unaweza kumwambia "Unanukia utamu", "nimependa kitambaa cha nguo yako","nishawahi kukuambia kuwa macho yako yanapendeza? Nimependa vile yanang'aa nikiwa karibu yako." Maneno kama haya unaweza kumrushia mwanamke huyu bila hata yeye kusongea mbali na wewe. Mwanzo atakuwa anapenda kuyaskia.
Mara kwa mara ingiza maneno ya kusuka. Kama mbeleni ushawahi kumtumia texts chafu unaweza kuleta stori kuhusu baadhi ya texts hizo ili umkumbushe mambo ya kimapenzi ambayo mumekuwa mkitumiana.
4. Shika vidole vyake
Huu mchezo ucheze kwa tahadhari na polepole. Hakikisha nyote wawili mnagusana vidole vyenu kibusara. Iwapo itatokezea ataingiwa na wasiwasi ama kutojiona sawa, basi hapo ndipo itakuwa tamati yako ya kumfanya apandwe na nyege. Jaribu kutafuta kisababu cha kushika vidole vyake aidha kwa kusugua mikono yake na yako ama kumpatia kitu ashikilie. Msifie vile mikono yake iko laini kama pamba. Kufika hapa lazima atakuwa ameanza kujua ajenda yako chafu kwake. Hakikisha ya kuwa hauna pupa ya kufanya chochote cha haraka. Ukiwa mpole kwa kuchukua hatua kwa hatua basi pia yeye atakuwa anafurahia.
5. Mnong'onezee katika sikio lake
Hii itatekelezwa vizuri iwapo mko katika sehemu ambazo kuna watu wengine. Mfano ndani ya basi, mkiwa na marafiki zenu, katika sinema, viti vya nyuma vya gari ama mkiwa nyumbani wakati mnaangalia kipindi pamoja, itakuwa sehemu bora zaidi kufanya kitendo kama hiki.
Usijaribu kuleta ucheshi ndani yake kwa kuwa ukifanya hivyo kutaua mpango mzima. Hivyo msogelee kwa sikio lake na kumsifia kwa jambo fulani. Mwambie kuwa umeshindwa kujizuia kumwambia maneno hayo ya kumsifu kwa mara nyingine.
Iwapo unataka kugonga ndipo, unaweza kumsogelea hadi kwa sikio lake na kumwambia kuwa ungependa kutoka out na yeye siku moja.
Unapotamka maneno ya kimahaba katika sikio lake hakikisha ya kuwa unapumua kwa uzito. Kufanya hivi kutasisimua nywele zake za malaika zinazopatikana nyuma ya shingo na mikononi mwake. Pia usisahau kulisha midomo yako kwa sikio lake ili kuleta mtizamo wa kumtesa kwa kujaribu kumla dende kwa sikio lake
Kama matiti yake huwezi kuyafikia unaweza kupitisha nyuma ya mgongo wake ama juu ya mapaja yake ama sehemu yeyote ile ambayo kwa kawaida huwezi kuigusa kawaida ukiwa naye.
6. Isome miondoko yake
Ukianza kumuona anazungumza polepole na kukusongelea karibu yako, ishara kuu ni kuwa ameshapandwa na nyege kama ulivyo wewe. Najua iwapo umetumia hatua hizi moja baada ya nyingine kufikia sasa najua umesimikwa. So kufikia hapa unaweza kurudia hatua za kumsuka, kumtesa, kumgusa na kujaribu kufikia viungo vyake vingine vya mwili ilimradi nyote wawili mnafurahia.
Lisha mikono yako kwa matiti yake ama uangalie shati lake kama utaona vitu vimesimama kwa matiti yake, utakuwa umefaulu kumfanya mwanamke apandwe na nyege!
7. Muulize kumtoa out
Ok hatua hizi zote naona hazifai kupotea hivi hivi. Waonaje umuulize kama anataka umtoe out? Bila shaka hawezi kataa kwa sababu muda huu mfupi umekaa na yeye utakuwa umempagawisha vya kutosha.
Basi baada ya hapo unaweza kuomba mechi akakuachia umtie.

Saturday 2 June 2018

JE? KUFANYA MAPENZI WAKATI UNA NYONYESHA UNA MBEMENDA MTOTO

Kumbemenda mtoto ni mtoto kutokua vizuri ikidhaniwa kutokea kutokana na mama anayenyonyesha mtoto kukutana kimapenzi na mwenzi wake hasa kipindi mtoto bado ni mchanga na ananyonyeshwa.
Hii ni dhana iliyopo katika jamii mbalimbali, na inadhaniwa hutokea kwa sababu mtoto kunyonya maziwa yenye mbegu za kiume zilizoingia kwenye maziwa baada ya kufanya mapenzi.
Je, kuna ukweli wowote?
Hapana. kiukweli na kiutaalamu dhana hii si sahihi kabisa!
kufanya mapenzi na mwenzi wako baada ya kujifungua hakuwezi kusababisha afya ya mtoto kuzorota. mwanamke anapokutana na mwanaume kimapenzi, shahawa huingia kwenye tumbo la uzazi na kubaki huko. haziingii kwenye damu wala haziwezi kufika kwenye maziwa. dhana ya kuwa shahawa huingia kwenye maziwa na kumuathiri mtoto sio sahihi.
Ni baada ya muda gani mwanamke aliyejifungua anaweza kufanya mapenzi?

unaweza kuanza kufanya mapenzi tena baada ya maji maji yenye damu ya uke (lochia) kuacha kutoka ambayo ni kama wiki 3 mpaka 4 baada ya kujifungua, na wewe kujisikia vizuri na kuwa tayari kushiriki katika mapenzi. pia, mnaweza kusubiri mpaka wiki 6 zipite toka ulivyojifungua.

Je, kuna athari yoyote ya kufanya mapenzi baada ya kujifungua?
Kufanya mapenzi baada ya kujifungua hakuwezi kuleta madhara kwa mtoto endapo hamna maambukizi ya magonjwa kama virusi vya ukimwi (vvu). ikiwa mwanaume ana vvu anaweza kumuambukiza mama na kisha mtoto kuambukizwa kupitia maziwa ya mama.
Ikiwa mnafanya mapenzi kabla ya damu damu ya ukeni kukata, maambukizi ya bakteria yanaweza kutokea kwenye tumbo la uzazi (endometritis). pia kuna uwezekano wa mama kupata ujauzito miezi 6 ya kwanza ya kunyonyesha.
Nini kinasababisha afya ya mtoto kuzorota?

Kama tulivyoona, kufanya mapenzi hakusababishi mtoto kubemendwa. afya ya mtoto inaweza kuzorota kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo;
Kukosa maziwa ya mama ya kutosha
Mtoto kushindwa kunyonya vizuri
Kuanzishiwa vyakula vya ziada mapema, kabla mtoto hajafikisha miezi 6 au vyakula visivyo na viritubisho vya kutosha.
Homa, nimonia na maambukizi ya mfumo wa mkojo (uti) za mara kwa mara.
Maambukizi ya magonjwa kama virusi vya ukimwi (vvu) au kifua kikuu.
Matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo (congenital heart diseases).
Kufanya mapenzi na mwenzi wako hakusababishi mtoto kubemendwa. baada ya kujifungua mtoto hutegemea kupata lishe bora kutoka kwenye maziwa ya mama, hivyo nyonyesha mtoto wako vizuri. ukiona ukuaji wake unazorota, onana na daktari.

NJIA ZA KUPUNGUZA SIKU ZA HEDHI (MWANAMKE)

Ktk makala moja iliyopita nilielezea swala la kujiswafi ili kuondoa utoko nakupunguza harufu/shombo ya uke, vilevile nilisema kuwa kwa kufanya hivyo (kujisafisha huko chini) kunapunguza siku zako za hedhi ikiwa utaendelea kujiswafi wakati uko hedhini.
Sote tunatambua karaha ya hii kitu na baadhi hutunyima raha ikiwa wapenzi wetu hawezi kumudu kufanya ngono wakati uko huko mwezini japokuwa wewe unataka kuliko siku zote.
Sasa ni hivi; kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa siku zako ni kati ya 3-7 lakini wewe unakwenda siku 8-12 na huelewi kwanini wewe wakati wengine wanapiga siku tatu tu?
Unapokuwa hedhini damu huchirizika taratibu lakini si damu yote inayotoka nje ya ikulu na kujaa kwenye "Tampax" au "pads", sasa ili damu hiyo yote itoke yenyewe inamaana itakubidi uisubiri kutegemeana na uwingi wake.

Hivyo, ili kupukuza swala la kusubiri isaidie kwa kidole chako cha kati kuitoa huko iliko kama ambavyo nilielezea awali kwenye swala la kutoa utoko. Endelea kujiswafi mpaka uone maji yanachuruzika bila damu.....kwenye hedhi utahisi uterezi usihofu au kutafuta jitihada za kuumaliza, haumaliziki kwani wakati huo uke unakuwa laini ili kusaidia mabonge ya damu kupenya kwa urahisi (natambua sio wote lakini Mungu ndio alivyoumba hivyo).
Mara baada ya kujiswafi vaa kifaa chako kama kawaida na endelea na shughuli zako, kumbuka kujiswafi kila unapokwenda kuoga na hakika utajikuta unakwenda siku chache zaidi kuliko ilivyo awali.

Pssssss!Awali dada mmoja alikuwa akwenda siku sita (alikuwa bikira so huruhusiwi kujisafisha) lakini tangu alipoingia kwenye ulimwengu wa ulimwengu (mahusiano yakimapenzi) akaanza kujiswafi anapiga siku 3 tu na damu sio nyingi sana kama ilivyokuwa awali.....
Nakutamia siku njema na kila la kheri katika kupunguza siku zako za damu.