Thursday 24 May 2018

ESMA :- AMKANA HAMISA MOBETO MCHANA KWEUPE

Mwanadada Esma Platinumz amemkana Hamisa Mobeto kwamba sio rafiki yake tena kwa sasa hivi na kusema kuwa hajui chochote kuhusu mahusiano ya rafiki yake huyo na kaka yake Diamond Platinumz.

Akiongea katika sherehe waliofanya wikiend iliyopita walipokuwa wakiukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani, esma anasema kuwa hajui chochte kuhusu mahusiano ya wawili hao na ndio kwanza ameyasikia kutoka kwa mtangazaji huyo na kama ni kweli basi hana cha kuzungumza kuhusu hilo.
 Ndo kwanza nasikia kwako taarifa hizo wala hata sijui kama wamevalishana pete,hamisa mobeto alikuwa rafiki yangu lakini no comments,alikuwa rafiki yangu lakini sio kwa sasa hivi.

No comments:

Post a Comment