Wednesday 23 May 2018

MAMA DIAMOND :- SIJA MPIGA HAMISA MOBETO NO COMMENT

Mama mzazi wa msanii Diamond Platinumz hivi karibuni amekuwa katika headline karibia kila kona kutokana na skendo iliyokuwa ikisambaa katika mitandao kuhusu yeye kumpa kipigo mwanamke anaesemakana kutoka kimapenzi na mwanae pekee ya kiume Diamond .
Inasemekana kuwa mama Huyo aliamua kumpa kichapo hamisa kutokana na kuwa hapendi Hamisa kuwa karibu na mtoto wake huku akisema kuwa hamisa hana adabu hivyo hafai kabisa kuwa mkwe wake.
Mitandao ya kijamii imekuwa ikiripoti na kumtafuta sana kuzungumzia swala hilo, lakini pia katika mitandao ya kijamii watu wengi wamekuwa wakimtukana mama huyo kwa kuwa amekuwa akijihusisha sana na maswala ya mitandao na hasa kumfatilia sana mtoto wake ambae ndio amekuwa source ya matatizo yote.
Akiwa kama mama na mtu mzima watu wamekuwa wakimtaka mama huyo kauchana na mitandao lakini pia aache kufatilia maisha ya mtoto wake wa kiume.
Sasa mama huyo ameamua kuwajibu wanaomtukana katika mitandao na kusema kuwa hata yeye hapendi kufatiliwa na watu kwa sababu hayo ni maisha yake na familia yake
Waache kufatilia maisha yangu na familia yangu na wao wafatilie familia zao pia,kila mtu 

Waache kufatilia maisha yangu na familia yangu na wao wafatilie familia zao pia,kila mtu anafamilia yake waiache ya kwangu na kuhusu ku-unfollow hicho ni kitu cha kawaida wenyewe tushazoea.

No comments:

Post a Comment