Thursday 24 May 2018

MTOTO WA STEVEN NYERERE AFANANISHWA NA RICH

Ikiwa leo ni siku ya kuzaliwa na mtoto wa Steve aliyezaa na Matilda Weru Sengo kumezuka mapya atika kurasa mbalimbali za udaku baada ya mtoto huyo kufananishwa na msanii mwingine kutoka Bongo movies Single Mtambalike maarufu kama Richie.

Picha za mtoto huyo zilizosambaa sana katika mitandao ya kijamii huku wengi wakuthibitisha maneno mengi yaliyokuwa yakisemwa na wawili hao kuwa wanakanusha , hatimaye sasa ukweli umegundulika kuwa wawili hao walikuwa wapenzi lakini bado kitendawili kimeshindwa kutatuliwa baada ya watu wa udaku kuanza kumfananisha mtoto huyo na msanii mwenzao wa filamu nchini.

Steve Nyerere na Weru sengo wamekuwa katika mahusiano kwa muda mrefu na lakiniwawili hao wamekuwa wakisema kuwa hawapo pamoja lakini kwa sasa wameamua kuthibitisha kwa kuonyesha kuwa wana mtoto na ametimiza umri wa mwaka mmoja sasa.

No comments:

Post a Comment