Wednesday 7 February 2018

Mange kimambi:""Sasa inatosha Inatosha

Kwa mujibu wa Post  ya  Mange kimambi ""leo amezidi kuendelea kuwa jumlisha Baadhi ya viongozi Wa Dini (mufti) na Waserikali kama rais "Magufuri" na mkuu wa mkoa wa Dar-es-saalam "Makonda" ambae amemtaja kwa jina la "Bashite" mange akuishia apo Amemtaja mpka Hakim... soma post hapo chini 👇👇


""""""Bwana eeh malalamiko mengi kuwa nawadhalilisha wanawake wa kiislamu sababu ya huyo shetani wanasema wengine washalia na Mungu na kusamehewa alafu mimi nafukua dhambi zao upya. .
.
Wanawake wengine nliowaposti wanaomba niwafute mwingine mpaka anatishia atajiua.So naona bora nifute maposti yote ya shehe yenye picha na majina ya hao wanawake maana sina amani wengine wanaomba kihuruma mpaka nakosa raha ya kumchamba shehe. Huyo hakimu niliyemposti  sasa hivi nahisi mahakama nzima imeingia insta kuniambia nimtoe hakimu wao,he jamani!! Na nyie wanawake kabla ya kujihusisha na huyu malaya wa kiume anaejiita shehe muwege mnafirikiria vyeo vyenu. .
.
leo nilitaka nikeshe humu tena! Ila nahisi sasa ntasomewa albadiri na watu ambao dua yao itapokelewa 😂 maana kuna mmoja hapo nimeambiwa alienda na Macca mwaka jana. Sasa huyo akinishtaki lazma nikutwe na hatia 😩
.
.
We Alhadi wewe, ushukuru wanawake zako mbwa wewe!!
.
.
Na majini yako bado hayajafika marekani mpaka saa hii nahisi yamekwamia Ikulu!! na nimeambiwa huna elimu ya kumtumia mtu majini ila unamtegemea mufti ndo akufanyie sababu Mufti anayo hiyo elimu ya kutuma majini ya shari. Huyo Mufti nae akikusaidia  atakuwa sio mzima maana unamfanyia  fitna za chini chini ili uchukue nafasi yake na Bashite na Magu wanafanya juu chini wakuweke  hapo uwe Mufti sababu wewe wanakumudu ili wakutumie vizuri kunyanyasa waislamu na kulinda interest za serikali. Wajaa laana wooote nyie!!!yani mtenda dhambi kama wewe ndo uwe mufti?? Ni kuidhalilisha dini kupita kiasi. Hufai hata kuwa mfagiaji hapo Bakwata jinsi unavyonuka dhambi. Anyways Mufti nae anitumie majini asinitumie hayavukiiii bahari hayo yoooote yataishia Ikulu na mengine yatapenya kwenye matako yako, Gullam Dewji apambane nayo.Shwein!!!""""""""""

WWW.RAGBUONE.BLOGSPOT.COM .......NA Follow instagram  kwa jina "RAGHIBU ARAGEWER AR.... kwa Habari zote

No comments:

Post a Comment