Tuesday 13 February 2018

Izi ndizo team zenye vikosi Ghari sana Duniani utawashangaa Arsenal & Real Madrid!!

Wakati klabu nyingi duniani zikitumia mamilioni ya fedha kufanya usajili ili kuendana na ushindani wa mpira wa kisasa, hatimaye klabu za soka zenye vikosi vya ghali zaidi vimetangazwa.
Kwenye orodha hiyo ya timu 50 iliyotolewa na Taasisi ya CIES Football Observatory imeonesha kuwa timu kutoka Uingereza zimeongoza kwenye 10 bora.
Kwenye nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo Man City imeongoza ambapo kikosi chake kina gharama ya Euro milioni  £777 ikifuatiwa na vikosi vya PSG Euro Milioni £713, Man United Euro milioni £661 na FC Barcelona Euro milioni £641 .
Katika hali ya kushangaza ni kwamba timu ambazo zinatajwa kuwa na mkwanja mrefu duniani za Real Madrid, Bayern Munich na Arsenal hazipo kwenye Tano bora ya klabu zenye vikosi ghali duniani licha ya kuingiza faida kubwa kwenye dili za matangazo, mikataba na makampuni na mauzo ya jezi.
Kwenye orodha ya vikosi ghali kwenye 10 bora Uingereza imetoa timu sita ikifuatiwa na Hispania timu mbili huku Italia na Ufaransa zikitoa timu moja moja.
Tazama orodha kamili ya timu 50 zenye vikosi ghali zaidi duniani kwa msimu huu 2017/18.
1. Manchester City – £777m
2. PSG – £713m
3. Manchester United – £661m
4. Barcelona – £641m
5. Chelsea – £524m
6. Real Madrid – £439m
7. Liverpool – £408m
8. Juventus – £396m
9. Arsenal – £356m
10. Everton – £323m
11. Bayern Munich – £321m
12. Tottenham – £316m
13. AC Milan – £269m
14 Atletico Madrid – £263m
15. Monaco – £253m
16. Borussia Dortmund – £237m
17. Roma – £231m
18. Southampton – £202m
19. Crystal Palace – £199m
20. Inter Milan – £192m
21. Napoli – £180m
22. West Ham – £157m
23. Wolfsburg – £144m
24. Leicester – £143m
25. Sevilla – £141m
26. Bayer Leverkusen – £140m
27. Stoke – £132m
28. Valencia – £130m
29. Newcastle – £128m
30. Watford – £124m
31. Lazio + Swansea £117m
33. West Brom – £115m
34. Borussia Monchengladbach – £108m
35. Schalke – £107m
36. RB Leipzig – £104m
37. Sampdoria – £100m
38. Marseille – £99m
39. Villareal – £97m
40. Fiorentina – £94m
41. Burnley – £102m
42. Lyon – £88m
43. Bournemouth – £86m
44. Torino – £83m
45. Brighton – £79m
46. Hamburg – £78m
47. Lille – £71m
48. Huddersfield – £68m
49. Sassuolo – £66m
50. Hoffenheim – £61m

JIUNGE SASA NA "raghibu ARAGEWER Ar""
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia
Facebook
 , Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town!


By:"Aragewer 

No comments:

Post a Comment