Monday 5 February 2018

HAPPY BIRYHDAY "CR7" Christian Rinaldo Leo hii ya tarehe 05/02/018 ni Sikh take ya kuzaliwa ,Rinaldo Leo hii anafikia umri was miaka 33 Akiwa na Mafanikio Makubwa katika Moira wa miguu  ukiachilia tuzo mbali mbali alizo pokea kma
BALLON D'OR 5" "EUROPEAN GOLDEN 4""" UEFA BEST PLAYER 3" "" BEST FIFA MEN'S PLAYER 2" """ WORLD PLAYER OF THE YEAR 1..Lakini ameonekana na mafanikio ya Makombe katika team 2 kubwa alizo chezea Manchester united And Real Madrid ...Cr7 Ana miliki Kampuni ya Cr7 ambayo INA tengeneza mavazi pamoja na viatu Cr7 ana utajiri na Majengo na magari Ya kifahari..Na ikumbukwe ndio Mtu wa kwanza mwenye Fan base kubwa dunian...na ndie mchezaji mwenye Pesa nyingi dunian kwa familia ya Mpira wa miguu
 Kila la Kherii CHIRSTIAN RONALDO......Umezeeka na Utajiri wako

No comments:

Post a Comment