Showing posts with label MOVIES/ REVIEW. Show all posts
Showing posts with label MOVIES/ REVIEW. Show all posts

Thursday 7 February 2019

Review| Legends of tomorrow| Read now



Welcome back... Katika sehemu hii ambapo tunafanya marejeo ya filamu (Movie review) kuangalia ni kitu gani tumeweza kujifunza, kulikuwa na makosa gani, waliwezaje kutengeneza na vitu mbali mbali kuhusu movie husika.

Leo hii nimekuletea taarifa kuhusu series ya Legends of Tomorrow ambayo imesheheni superheroes kibao kutoka DW huku Wentworth Miller akiwepo (Michael Scofield), Victor Garber, na Franz Dramer Lakini baadae Cw wakaingia kati  kuleta watu kama Grant Gustin (The Flash) na mtaalamu Oliver Queen mzee wa mishale, na kufanya Series hiyo kuwa kali zaidi.

Mpaka sasa hivi Imetoka jumla ya Misimu mitatu(Season tatu), Lakini kwa sasa taarifa inasema kuwa kampuni ya DW italeta mzigo huyo baadae mwaka huu.

LINI ITATOKA SEASON FOUR

Kumbuka kuwa season 3 iliishia pale ambapo Gary na John Constantine (Matt Ryan) wakitafuta team ya watu ambao watapambana na magical threat.

Ujio wa Season four ya Series hii imetangazwa kuwa ni tarehe 22 mwezi oktoba mwaka 2018, Episode one yake imepewa jina la "The Virgin Gary", itarushwa kupitia CW.

Keiynan Lonsdale hatokuwepo tena

Mtaalamu Keiynan Lonsdale, ambaye amecheza kama Wally West / Kid Flash ambaye ameonekana ana kasi kuliko ya Barry hatowez kuwepo tena katika msimu huu wa nne, Lakini Barry atakuwa ndio mwenye kasi zaidi ya Wally baada ya Barry kumzuia Wally, Lakini tumeambiwa kuwa anaweza kurejea tena katika Msimu wa tano (Season 5), Pia kuwepo kwa Matt Ryan katika msimu huu wa nne

Wednesday 24 October 2018

REVIEW| Vitu ambavyo hauja gundua katika movie ya Apocalypto [Soma hapa]

Leo nawapa Story fupi kabisa ila kuhusu movie moja bora na iliyopendwa Sana hadi Leo hii movie ukikaa na kuitazama basi hapana Shaka bado ina utamu wake ule ule na msisimuko uleule ambao bado haujapotea japokuwa ni movie ya zamani kidogo 

Apocalypto (Maana Kwa Kiswahili: Mwanzo Mpya) Ni Jina La Filamu lliyo Tengenezwa Chini Ya Muongozaji Hodari Mel Gibson

Mel Gibson, Anasema Filamu Hii llitokana Na Wazo Kwamba Kijana Mmoja Anakimbizwa Na Kundi La Wahuni. Wakati Anakimbia Kuokoa Maisha Yake Pembezoni Mwa Ufukwe Wa Bahari Anakutana Na Christopher Columbus Na Kundi Lake. Ikumbukwe Kwamba Jamii Ya Wa Mayans Ndio Walikua Watu Wa Kwanza Kukutana Na Kundi La Watu Toka Ulaya (Akina Columbus) Mnamo Mwaka 1502. Hapo Ndipo Akapata Wazo La Kila Tulichokiona Ndani Yake. Sasa Sikia Hii
1: Mnyama Anayefukuzwa Pale Mwanzo Wa Movie Sio Nguruwe Kama Wengi Tunavyodhani, Bali Ni Tapir. Tapir Ni Aina Ya Mnyama Ambaye Alipatikana Katika Maeneo Ya Kusini Na Kati Kati Ya Latin America. Yeye Ndiye Alikua Mnyama Mkubwa Zaidi Kipindi Kile Cha Miaka Ya 1511 Kwa Sababu Punda Na Farasi Walikua Bado Hawajaletwa Na Wa Spain
2: Katika Uchukuaji Wa Vipande Vya Filamu Hiyo Inasemekana Kwamba Kuna Ng’ombe Alianguka Katika Maporomoko Ya Maji (Waterfalls) Yenye Urefu Wa Futi 170 Toka Juu Hadi Chini, Kiasi Kwamba Crew Nzima Ya Apocalypto Walihisi Kwamba Yule Ng’ombe Kafa, Lakini Cha Ajabu Alinyanyuka Na Kutoka Mle Mtoni Kisha Akaaaza Kula ‘Majani Kama hakuna Kilichotokea…!!! Maajabu

By R_one Library online 



REVIEW| ijue movie ya black panther: na matukio yake yote [Soma hapa]

Thursday 27 September 2018

MOVIE/REVIEW | cannibal holocaust


Tukizungumzia uhalisia wa movie basi Director Ruggero Deodato wa movie ya Cannibal Holocaust alitisha.
Siku 10 baada ya kutoka movie hiyo mjini Milan iliweza kusimamishwa na mahakama ya nchini Italia na Director Ruggero alishitakiwa kwa scene za kutisha na kikatili.
Baadae alishitakiwa kwa mauaji ya actors kadhaa na kuhukumiwa kifungo cha maisha.

Actors wa movie hyo walisaini mkataba wa kutokomea kwa mda wa mwaka mmoja baada ya kumaliza shooting ya movie hyo, ili kuaminisha watu walichokiona kwny movie kua wamefariki kweli.
Baadae Director Roggero aliwasiliana na mtu ili awasiliane na actors wa3 walopotea.
Wale actors walipotokea mahakamani wakiwa wazima na wenye afya hvo kesi hyo ya mauaji ilisitishwa na pia ni baada ya kuelezea hzo scene za mauaji alizitengenezaje
.
Kingine Cha Kustajaabisha Kuhusu Filamu Hii Ni Kuwa Wanyama Wote Waliouliwa Humu Ni Kweli Waliuliwa Na Hiki Ni Moja Ya Vitu Ambavyo Director Deodato Anajutia.

Alipoulizwa Kitu Gani Anachojutia Alisema Anajutia Vifo Vya Wanyama Wale, Anajutia Kwanini Alifanya Kweli Na Wakati Mwingine Anaona Ni Bora Asingefanya Movie Hiyo.
Ndani Ya Siku 10 Tu Filamu Hii Iligonga Mauzo Ya $1.9 Million Huku Ikiwa Na Bajeti Ya $100,000 Tu, Na Filamu Hii Ilitoka Rasmi 7/2/1980 Ikiwa Na Dakika 96