Showing posts with label ENTERTAINMENT. Show all posts
Showing posts with label ENTERTAINMENT. Show all posts

Thursday 25 October 2018

JE UNATAKA KUJIUNGA NA 1XBET? NI RAISI SANA NJOO UFUATE MAELEKEZO KWA UMAKINI UWEZEKE KUVUNA PESA

Sunday 9 September 2018

MOVIE| JIG SAW -2018movie • DOWNLOAD FREE


DOWNLOAD AND SHARE



General Information
  • Title: SAW (JIGSAW)
  • Director: The Spierig Brothers
  • Producer: Gregg Hoffman
  •  Country: US
  • Time: 92 Minutes

PLOT
Baada ya kufuatilia mfululizo wa movie kali za Saw, mwaka jana wamerudi tena na hii inaitwa JigSaw, mara ya mwisho Mtaalam John Kramer alionekana amekufa, Lakini leo hii hapa mchezo wa mauaji umerudi tena baada ya watu watano Mitch, Anna, Ryan, Carly, na mwanaume mmoja ambae hajajulikana kutokana na kupoteza fahamu, wanatakiwa kutubu dhambi zao la sivyo wanauwawa

CHEK KIONJO





Saturday 9 June 2018

ASLAY:- NYIMBO YA NINOGESHE NI YANGU MIMI NANDY KAPEWA TU

Mwanamuziki Aslay amefunguka na kusema kuwa wimbo aliimba Nandy wa ninogeshe ambao umefanya vizuri tangu umetoka katika station mbalimbali aliuandika yeye na alitakiwa kuutoa siku nyingi lakini ilibdi apewe Nandy .

Aslay anasema kuwa nandy alikuwa hana wimbo wa kutoa kwa kipindi hicho hivyo ikabidi wimbo uliokuwa tayari ulioandikwa na aslay apewe Nandy kama menejiment iliyokuwa imepanga na kuona kuwa itakuwa sahihi.


Hata Nandy pia alishawahi kusema katika moja ya mahijiano yake ya nchini Kenya hivi karibuni kuwa wimbo huo uliimbwa na Aslay

ninogeshe ni wimbo ambao nilitakiwa kuuimba nikiwa na nandy , ila kwa sababu nandy hakuwa na wimbo kwa kipindi hicho ilibidi menejiment iamue kupewa nandy aimbe peke yake.

T I D:- AIBUKA NA POVU KWA MEDIA ZA BONGO

Msanii TID amesema kuwa utaratibu wa wadau/media kushusha wasanii pale wanapodai maslai yao na kuwapandisha wengine ndio kitu kinaathiri muziki wa Bongo Flava.
Muimbaji huyo ameeleza kuwa kitu hicho ndicho kilitokea kwenye muziki wake na kwa sasa kimemtokea Diamond.

“Na kweli anaweza because he has a media, yaani yeye ndio kama Mungu anajiona but mimi hapana. Nilifanya kosa hilo lakini kosa hilo ndilo limewasanua wasanii wengine, unaona msanii kama Diamond naye amekataa,” amesema.

“So Diamond was me lakini wakasema wewe siunajifanya mjanja sasa tunamleta Diamond tukushushe wewe. At the end Diamond naye wanataka kumuua, sijui wanataka kumuweka nani,” TID ameiambia Wasafi TV.

TID ameongeza kuwa hajaona kitu kama hicho nchini Kenya kwani bado anamuona Jaguar ni msanii mkubwa, Nonini ni msanii mkubwa anapewa heshima yake hakuna underground yeyote amewekwa pale kumshusha Nonini.

Thursday 7 June 2018

OMMY DIMPOZI:- WCB KUNA NYIMBO MBILI TU KARI

Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimpoz ametaja nyimbo mbili kutoka label ya WCB ambazo anaona zinafanya vizuri.

Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Wanje’ ametaja ngoma ngoma hizo kuwa ni Kwa Ngwaru ya Harmonize na Pochi Nene ya Rayvanny.

“Moja wapo ni hiyo kama unavyosema Kwa Ngwaru ni wimbo ambao unafanya vizuri, yeah!, kuna mwingine nimesikia wa Rayvanny Pochi Nene, kwa hiyo kwa currently ni nyimbo ambazo naweza kusema zinafanya vizuri,” Dimpoz ameiambia Citizen Radio.

Katika hatua nyingine amefunguka ni lini hasa bifu lake na Diamond litaisha kwa kusema; “Kila jambo lina wakati wake kwa hiyo time itakapofika mambo yote yatakaa sawa, tuombe Mungu".

JACLINE WOLPER:- HARMONIZE NI TAPERI MUSIKUBARI KUTAPERIWA

Mwanadada Wolper ameamua kumlipua harmonize na kumwita tapeli baada ya harmonize kutangaza katika vyombo vyahabari kuwa kutakuwa na show yake mbagala na katika show hiyoa atakaekuwa aki-host ni hjackline wolper.

Harmonize alitoa taarifa hiyo na kusema kuwa hana bifu na Jacky na kuwa wameamua kuanzia sasa kufanya kazi pamoja ili kuondoka kuwagawa mashabaki. lakini baada ya tangazo hilo la Harmonize, uongozi wa Jacky ulikanusha taarifa hizo na pia Jacky mwenye anmesemakuwa hayupo kabisa tanzania na kwamba wanaofanya na kutangaza hayo ni matapeli sugu.

TANGAZO TANGAZO , NAOMBENI MTAMBU KUWA SIPO TANZANIA NA WALA SITAKUWEPO KABISA KATIKA SHOW YOYOTE, IWE YA MBAGALA AU YA POSTA , MIMI KAMA WOLPER SIHUSIKI…YOTE WANAYOYASEMA NI UONGO NA WALA SIHUSIKI..SITAKI WATU WATUMIE JINA LANGU KUVUTA WATU, EPUKANA NA MATAPELI ..ASANTE SANA…#EPUKAMATAPELISUGU #ACHENIKUTUMIAJINALANGU #SIPOTANZANIANASIRUDIMPA

Sunday 3 June 2018

HARMONIZE :-SIWEZI KUMCHAGULIA MKE WA KUOA DIAMOND AOE YEYOTE


                                                 
 Diamond Platnumz bado amezid kukamata headline mitandaoni kuhusu maisha yake ya kimahusiano, safari hii Harmonize naye katia neno katika hayo yanayoendelea.
Harmonize amesema hawezi kumshauri Diamond Platnumz awe na nani kwa sasa kati ya Zari, Hamisa au Wema ila ataonesha ushirikiano kwa yeyote akayechaguliwa na Diamond.
“Mimi yeyote; akiniambia leo tunarudi South Africa mimi nipo pale Pretoria, akiambia kwa wakati huu tuhamie Unu
nio, nipo pale kwa Madam, akiambia official tunachukua Hamisa tunaweka ndani nipo, sasa jamani kwani utamu napata mimi,” Harmonize ameiambia Wasafi TV.
Awali Harmonize alisema kuwa licha ya kufanya kazi na Diamond kwa ukaribu na kusaidiana katika mambo mbali mbali ni vigumu kwa yeye kumshauri kuhusu mahusiano yake ila watu wa karibu kutoka kwenye familia yake kama Romy Jons na Esma Platnumz wanaweza kufanya hivyo.