Tembelea account za mitandao ya kijamii ya 1xbert
Showing posts with label ENTERTAINMENT. Show all posts
Showing posts with label ENTERTAINMENT. Show all posts
Thursday, 25 October 2018
Sunday, 9 September 2018
DOWNLOAD AND SHARE
General Information
- Title: SAW (JIGSAW)
- Director: The Spierig Brothers
- Producer: Gregg Hoffman
- Country: US
- Time: 92 Minutes
PLOT
Baada ya kufuatilia mfululizo wa movie kali za Saw, mwaka jana wamerudi tena na hii inaitwa JigSaw, mara ya mwisho Mtaalam John Kramer alionekana amekufa, Lakini leo hii hapa mchezo wa mauaji umerudi tena baada ya watu watano Mitch, Anna, Ryan, Carly, na mwanaume mmoja ambae hajajulikana kutokana na kupoteza fahamu, wanatakiwa kutubu dhambi zao la sivyo wanauwawa
CHEK KIONJO
Saturday, 9 June 2018
Mwanamuziki Aslay amefunguka na kusema kuwa wimbo aliimba Nandy wa ninogeshe ambao umefanya vizuri tangu umetoka katika station mbalimbali aliuandika yeye na alitakiwa kuutoa siku nyingi lakini ilibdi apewe Nandy .
Aslay anasema kuwa nandy alikuwa hana wimbo wa kutoa kwa kipindi hicho hivyo ikabidi wimbo uliokuwa tayari ulioandikwa na aslay apewe Nandy kama menejiment iliyokuwa imepanga na kuona kuwa itakuwa sahihi.
Hata Nandy pia alishawahi kusema katika moja ya mahijiano yake ya nchini Kenya hivi karibuni kuwa wimbo huo uliimbwa na Aslay
ninogeshe ni wimbo ambao nilitakiwa kuuimba nikiwa na nandy , ila kwa sababu nandy hakuwa na wimbo kwa kipindi hicho ilibidi menejiment iamue kupewa nandy aimbe peke yake.
Aslay anasema kuwa nandy alikuwa hana wimbo wa kutoa kwa kipindi hicho hivyo ikabidi wimbo uliokuwa tayari ulioandikwa na aslay apewe Nandy kama menejiment iliyokuwa imepanga na kuona kuwa itakuwa sahihi.
Hata Nandy pia alishawahi kusema katika moja ya mahijiano yake ya nchini Kenya hivi karibuni kuwa wimbo huo uliimbwa na Aslay
ninogeshe ni wimbo ambao nilitakiwa kuuimba nikiwa na nandy , ila kwa sababu nandy hakuwa na wimbo kwa kipindi hicho ilibidi menejiment iamue kupewa nandy aimbe peke yake.
Msanii TID amesema kuwa utaratibu wa wadau/media kushusha wasanii pale wanapodai maslai yao na kuwapandisha wengine ndio kitu kinaathiri muziki wa Bongo Flava.
Muimbaji huyo ameeleza kuwa kitu hicho ndicho kilitokea kwenye muziki wake na kwa sasa kimemtokea Diamond.
“Na kweli anaweza because he has a media, yaani yeye ndio kama Mungu anajiona but mimi hapana. Nilifanya kosa hilo lakini kosa hilo ndilo limewasanua wasanii wengine, unaona msanii kama Diamond naye amekataa,” amesema.
“So Diamond was me lakini wakasema wewe siunajifanya mjanja sasa tunamleta Diamond tukushushe wewe. At the end Diamond naye wanataka kumuua, sijui wanataka kumuweka nani,” TID ameiambia Wasafi TV.
TID ameongeza kuwa hajaona kitu kama hicho nchini Kenya kwani bado anamuona Jaguar ni msanii mkubwa, Nonini ni msanii mkubwa anapewa heshima yake hakuna underground yeyote amewekwa pale kumshusha Nonini.
Muimbaji huyo ameeleza kuwa kitu hicho ndicho kilitokea kwenye muziki wake na kwa sasa kimemtokea Diamond.
“Na kweli anaweza because he has a media, yaani yeye ndio kama Mungu anajiona but mimi hapana. Nilifanya kosa hilo lakini kosa hilo ndilo limewasanua wasanii wengine, unaona msanii kama Diamond naye amekataa,” amesema.
“So Diamond was me lakini wakasema wewe siunajifanya mjanja sasa tunamleta Diamond tukushushe wewe. At the end Diamond naye wanataka kumuua, sijui wanataka kumuweka nani,” TID ameiambia Wasafi TV.
TID ameongeza kuwa hajaona kitu kama hicho nchini Kenya kwani bado anamuona Jaguar ni msanii mkubwa, Nonini ni msanii mkubwa anapewa heshima yake hakuna underground yeyote amewekwa pale kumshusha Nonini.
Thursday, 7 June 2018
Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimpoz ametaja nyimbo mbili kutoka label ya WCB ambazo anaona zinafanya vizuri.
Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Wanje’ ametaja ngoma ngoma hizo kuwa ni Kwa Ngwaru ya Harmonize na Pochi Nene ya Rayvanny.
“Moja wapo ni hiyo kama unavyosema Kwa Ngwaru ni wimbo ambao unafanya vizuri, yeah!, kuna mwingine nimesikia wa Rayvanny Pochi Nene, kwa hiyo kwa currently ni nyimbo ambazo naweza kusema zinafanya vizuri,” Dimpoz ameiambia Citizen Radio.
Katika hatua nyingine amefunguka ni lini hasa bifu lake na Diamond litaisha kwa kusema; “Kila jambo lina wakati wake kwa hiyo time itakapofika mambo yote yatakaa sawa, tuombe Mungu".
Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Wanje’ ametaja ngoma ngoma hizo kuwa ni Kwa Ngwaru ya Harmonize na Pochi Nene ya Rayvanny.
“Moja wapo ni hiyo kama unavyosema Kwa Ngwaru ni wimbo ambao unafanya vizuri, yeah!, kuna mwingine nimesikia wa Rayvanny Pochi Nene, kwa hiyo kwa currently ni nyimbo ambazo naweza kusema zinafanya vizuri,” Dimpoz ameiambia Citizen Radio.
Katika hatua nyingine amefunguka ni lini hasa bifu lake na Diamond litaisha kwa kusema; “Kila jambo lina wakati wake kwa hiyo time itakapofika mambo yote yatakaa sawa, tuombe Mungu".